Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,320
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ww ndio unaongoza kwa kuponda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unaongoza kwa uwongo. Hao watu 100 waliompokea wema wako wapi jamaniWw ndio unaongoza kwa kuponda
Wewe unaongoza kwa uwongo. Hao watu 100 waliompokea wema wako wapi jamani
Nimeiona. Au macho yako yanaona nne nne?Hujaona video ya mapokezi yake kigali
Nimeiona. Au macho yako yanaona nne nne?
SijuiHotel gan kafikia?!
Sijui
Ukishiriki utakonda
Sawa sijaonaNdio maana nasema hujaona
Sawa sijaona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]si unapita wewe kwa niaba yanguHujawahi kupita kwny red carpet toka uzaliwe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aangalie asitutie hasara nyingine hapa,ya Ndikumana imetosha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mekugawa bure shoo[emoji119] [emoji119]Wema kinachomfanya Uzungu ni kingereza but hana tofauti na gigy money na kingine kile kisauti chake cha mapozi baasi!ana mitusi yulee
Kanifurahisha kuongea kiswahili kwa kiingereza. Eti "hii sehemu ina usafi mwingi". Unaweza kuta kaenda kudanga!Hongera mrembo wetu
Ndiyo mambo ya kizungu hayoKanifurahisha kuongea kiswahili kwa kiingereza. Eti "hii sehemu ina usafi mwingi". Unaweza kuta kaenda kudanga!
Ndio tatizo la watu wetu maarufu, yaani it's all about themselves, umaarufu ukiisha hakuna legacy yoyote ya maana ya kukumbukwa nayo.Hukujua kuwa u-Tanzania sweetheart unachuja umri ukifika, hata hivyo Wema ameifanyia nini jamii alipokuwa maarufu?
Hajawahi kuwa balozi wa wenye ulemavu au watoto wa mtaani au hata wenye magonjwa sugu.
akishafia jela maisha yako yatabadilika kuwa bora zaidiNa bado achague kuwa ccm au akafie jela,,mwaka huu mgumu sana[emoji23]