Wema Sepetu asema Rais wake ni Magufuli, wengine ni wa kukodisha

Wema Sepetu asema Rais wake ni Magufuli, wengine ni wa kukodisha

uzalendo gani alionao mkuu?
 
Hahaahaaa!..simshangai huyo...anatafuta ukuu wa WILAYA baada ya kupigwa chini kwenye ubunge!
 
Wema siku zile Ukawa wamefunika Dar akaandika upuuzi wake eti Ukawa hawajitambui. Na akawambia timu yake wasi post chochote kuhusu Ukawa. Inaonyesha anaumizwa na Ukawa sana.
 
Labda Wema ameanza tena kuvuta bange. Wema alifika hapa Butiama a few weeks ago. Nikamuuliza wewe ni Wema,akakataa. Unajua hawa superstars wanakuwa na hasira sana usipowatambua mara moja. Nilomuona Wema,an incurable romantic preoccupied with her boyfriend.
 
Labda Wema ameanza tena kuvuta bange. Wema alifika hapa Butiama a few weeks ago. Nikamuuliza wewe ni Wema,akakataa. Unajua hawa superstars wanakuwa na hasira sana usipowatambua mara moja. Nilomuona Wema,an incurable romantic preoccupied with her boyfriend.
Dawa ya mtu anejifanya maaruf ww jifanye humjui!!
 
Amechelewa, angejipendekeza kwa Magufuli wa enzi zile wa nyumba za taifa angepata mgao wake na yeye.
 
haaa haa anadhani atapewa ubunge wa kuteuliwa na makufuli... lowasa ndo rais wa awamu ya tano..
 
Picha yake hiyo
 

Attachments

  • 1439784849565.jpg
    1439784849565.jpg
    53.4 KB · Views: 1,646
Ya pili hiyo...
 

Attachments

  • 1439785097945.jpg
    1439785097945.jpg
    36.7 KB · Views: 1,462
Magufuri ndie rais wetu IPO openly

How openly is it? Probably its open to CCM members only. Unataka kutwambia hakuna hata haja ya kupiga kura? Inaonekana nyinyi wenzetu muna majibu hata kabla ya uchaguzi.

Na kama ni kusema hiyo iko openly basi UKAWA wamtangaze Lowassa moja kwa moja, maana kama ni kujaza watu yeye ndo funga kazi. Lakini kwa vile tumekwishaambiwa na mheshimiwa saaanaaa Nape kwamba CCM itashinda hata kwa goli la mkono hatuwezi kusema hivyo. Mpelekee salaamu Nape pamoja na CCM wote kwamba oil chafu ni kiboko kwa mchwa.
 
Labda Wema ameanza tena kuvuta bange. Wema alifika hapa Butiama a few weeks ago. Nikamuuliza wewe ni Wema,akakataa. Unajua hawa superstars wanakuwa na hasira sana usipowatambua mara moja. Nilomuona Wema,an incurable romantic preoccupied with her boyfriend.

Poti na wewe unavutiwa na huyu binti?
 
Dawa ya mtu anejifanya maaruf ww jifanye humjui!!

Kama Mywether alikuwa na tour huko England akaenda saloon moja wale wahudumu wakaulizana huyu ni nani Mywether akamaind akawaambia mim nafahamika dunia nzima kuwa mim ni bingwa wa boxing wale wahudumu wakamjibu mbona sisi hatukufaham tunae mfaham ni Mike Tyson tu! Ukiwashobokea wapanda kichwa dawa ni kuwauliza wew ni nani!
 
Back
Top Bottom