Wema Sepetu atia neno kuhusu BET Awards

Hata wewe unaweza kuwa kama wema hakikisha unamkojoza
Huyu dada sijui alilishwa nini na diamond.

Hakuna mwanaume atakuja kupendwa na huyu dada.

Yani leo dai akiomba one night stand atapewa, kwa huyu dada kugharamia kila kitu.
Tuu
 
Kwanza huyo unayemwita simba kapata umaarufu kupitia wema[emoji57] [emoji57] [emoji57]
si kweli,hii kauli huwa inanikera sana aise...au wewe ndo ulianza kumjua diamond baada ya kuwa na wema?
 
Analegea taratiiiibu,Diamond hawezekani tena kibakuli hana tofauti na wekundu wa msimbazi tour zimekata anasubiri kili awards


Diamond alimtuma RommyJones akaombee msamaha, ingia snapchat ya Wema utawaona
 
vote 4 tanzanian artist vote diamond aka chibu aka dangoute aka simbaaaa bin laden
 
 
Huyu dada sijui alilishwa nini na diamond.

Hakuna mwanaume atakuja kupendwa na huyu dada.

Yani leo dai akiomba one night stand atapewa, kwa huyu dada kugharamia kila kitu.
Pesa pesa ndio mpango mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…