Anahitaji boyfriend mpya.....i can handle it.....
kazi ipi?kazi kweli kweli!
Vipi Kashatoka?kuna habari kwamba yule miss TZ 2006, Wema Sepetu ameanza kuchanganyikiwa. Wiki iliyopita alimfanyia fujo mpenzi wake wa zamani ambaye ni msanii wa maigizo nchini Steven Kanumba na kuvunja vioo vya gari lake.
inasemekana kwa sasa mrembo huyu anatumia kilevi aina ya Bangi na wazazi wake wameshamshindwa wanamwachia Mungu tu.
Mbuzi wako wanaendeleajeWema...
Unaulizia mbuzi kama mbuzi au mbuzi huyu niliyenaye mapajani ?šMbuzi wako wanaendeleaje
Hahahaa mbuzi meeeeehhhhh..Unaulizia mbuzi kama mbuzi au mbuzi huyu niliyenaye mapajani ?š
Njoo DM tuyajengešHahahaa mbuzi meeeeehhhhh..
msalimie na huyo wa pajani najua ana ukame sana
Nilikua darasa la 6 piaWakati huu uzii unaandikwa nilikuwa sijajua kama kuna kitu kinaitwa jf, nilikuwa darasa la sita
Sent using Jamii Forums mobile app
ƱakujaNjoo DM tuyajengeš
Mimi nilikuwa la 7.Nilikua darasa la 6 pia
Mi nilidhani na wewe ni mzeeMimi nilikuwa la 7.
Muwaheshimu sana akina Nyani Ngabu aisee, ndio maana mimi nimemtunuku uwakili na napiga saluti kila nikimuona.
Heshima sana. Saluti kubwa.
2009Wakati huu uzii unaandikwa nilikuwa sijajua kama kuna kitu kinaitwa jf, nilikuwa darasa la sita
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwakani nafikisha miaka 30.Mi nilidhani na wewe ni mzee
Nyani Ngabu pascal Mayalla na Kiranga wako hai na nimeona comments zao kwenye huu uzi za tangu 2009.JF members tunaondoka sana Duniani ama JF kimia kimia wadau. Huu uzi ni wa 2009 miaka 15 imepita sasa. Lkn ktk wachangiaji 20 wa mwanzo ambao still wako active JF hawafiki 5.