Wema Sepetu atupwa lupango

Wema Sepetu atupwa lupango

  • Thread starter Thread starter GP
  • Start date Start date
kuna habari kwamba yule miss TZ 2006, Wema Sepetu ameanza kuchanganyikiwa. Wiki iliyopita alimfanyia fujo mpenzi wake wa zamani ambaye ni msanii wa maigizo nchini Steven Kanumba na kuvunja vioo vya gari lake.
inasemekana kwa sasa mrembo huyu anatumia kilevi aina ya Bangi na wazazi wake wameshamshindwa wanamwachia Mungu tu.
Vipi Kashatoka?
 
zoezi la ufukuaji makaburi linaendelea tunaomba ushirikiano
wenu wakuu
 
JF members tunaondoka sana Duniani ama JF kimia kimia wadau. Huu uzi ni wa 2009 miaka 15 imepita sasa. Lkn ktk wachangiaji 20 wa mwanzo ambao still wako active JF hawafiki 5.
 
JF members tunaondoka sana Duniani ama JF kimia kimia wadau. Huu uzi ni wa 2009 miaka 15 imepita sasa. Lkn ktk wachangiaji 20 wa mwanzo ambao still wako active JF hawafiki 5.
Nyani Ngabu pascal Mayalla na Kiranga wako hai na nimeona comments zao kwenye huu uzi za tangu 2009.

Hawa jamaa ni Legends, wanastahili tuzo ya kipekee.

Namshauri Maxence Melo aangalie namna ya kuwaheshimisha hawa jamaa watatu.
 
Back
Top Bottom