Leave her alone, it's her life afterall.this girl is a disgrace to her family...it is worthless for me personally to put efforts to discuss what she is doing....she is always after media attention na huo ni upumbafu na akili za watoto...samahani lakini ....
Kwa idadi ya pete alizokwisha vishwa, anaweza kufungua duka la pete na kuuza kwa mwezi mzima kwa wateja wasiopungua watano kwa siku bila kuongeza stock!!!
Hatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini wema isaac sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema watakipata lini na kuonyesha nyota yake bado inang'ara japo amepitia misukosuko mingi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa new maisha club ambapo imehudhuriwa na mastar wengine kama jb,sharomillionea,sam,gadna g habash,mateja na wengine wengi.wakati huo huo aliyekuwa mchumba wake waliyemwagana diamond yupo ktk hali ya sintojua baada ya mpenzi wake mpya kudaiwa kurudiwa na aliyekuwa mchumba ake hasheem thabit.
Kila la heri dada ktk safari yako mpya na pole kwa kijana diamond.
Source: dj choka blog na mimi mwenyewe
She is an outdated girl
Acheni kupotosha ukweli. Wema yuko kwenye shooting ya movie kuhusu maisha yake na si kama wewe unavyoileta hapa.
Ni movie ile si kweli.
Hatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini wema isaac sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema watakipata lini na kuonyesha nyota yake bado inang'ara japo amepitia misukosuko mingi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa new maisha club ambapo imehudhuriwa na mastar wengine kama jb,sharomillionea,sam,gadna g habash,mateja na wengine wengi.wakati huo huo aliyekuwa mchumba wake waliyemwagana diamond yupo ktk hali ya sintojua baada ya mpenzi wake mpya kudaiwa kurudiwa na aliyekuwa mchumba ake hasheem thabit.
Kila la heri dada ktk safari yako mpya na pole kwa kijana diamond.
Source: dj choka blog na mimi mwenyewe
Hatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini wema isaac sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema watakipata lini na kuonyesha nyota yake bado inang'ara japo amepitia misukosuko mingi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa new maisha club ambapo imehudhuriwa na mastar wengine kama jb,sharomillionea,sam,gadna g habash,mateja na wengine wengi.wakati huo huo aliyekuwa mchumba wake waliyemwagana diamond yupo ktk hali ya sintojua baada ya mpenzi wake mpya kudaiwa kurudiwa na aliyekuwa mchumba ake hasheem thabit.
Kila la heri dada ktk safari yako mpya na pole kwa kijana diamond.
Source: dj choka blog na mimi mwenyewe
...nani kakudanganya tunda la kati linazeeka..!?
...atatulia saiv...
JF mmeishiwa kiasi hichi hii post ya mwaka 2000 sijui acheni kutushusha hivi visitors wenuHatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini wema isaac sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema watakipata lini na kuonyesha nyota yake bado inang'ara japo amepitia misukosuko mingi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa new maisha club ambapo imehudhuriwa na mastar wengine kama jb,sharomillionea,sam,gadna g habash,mateja na wengine wengi.wakati huo huo aliyekuwa mchumba wake waliyemwagana diamond yupo ktk hali ya sintojua baada ya mpenzi wake mpya kudaiwa kurudiwa na aliyekuwa mchumba ake hasheem thabit.
Kila la heri dada ktk safari yako mpya na pole kwa kijana diamond.
Source: dj choka blog na mimi mwenyewe