Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh ila Message delivered mimi Nyasamaki Nafungaje Mwaka ............ Mbuta nanga! :behindsofa:
vipi na ile murano......?
Badala ya kuisifia murrano ya baby wake anaifuraia BMW ya kaka manager? Mmh kazi ipo kweli mwaka huu, sie yetu macho, yan zawad ya ndomo haina mashiko tena? Sisi yetu macho kwa kweli
hyo kadi mbona ya tarehe 21 mwezi wa 8 akati birthday ilikua mwezi wa 9 au alinunuliwa muda mrefu na mopao kazi ikawa kulitoa ili dangote asijue.
cc Dinazarde
vipi na ile murano......?
Mhhh ila Message delivered mimi Nyasamaki Nafungaje Mwaka ............ Mbuta nanga! :behindsofa:
Badala ya kuisifia murrano ya baby wake anaifuraia BMW ya kaka manager? Mmh kazi ipo kweli mwaka huu, sie yetu macho, yan zawad ya ndomo haina mashiko tena? Sisi yetu macho kwa kweli
BMW inaongelewa zaidi kwa sababu ndio inayoleta maneno, mara haijatoka kwa kaka manager, mara imetoka kwa mkongo, sijui TRA, sasa murano haina mjadala its clear imetoka wapi.
Nilikuwa nadhani wav wanamunea Wema kumbe ni kichwa nazi kabisa, yani yeye maisha yake binafsi anataka iwe ni habari ya kitaifa?
Ila na yeye afanye kazi bwana, sasa anategemea kupewa zawadi mpaka lini? Na wakigombana gar anapokonywa maana kuporwa gar wema sio mara ya tatu wala ya kwanza, hao wanaomuonga magar ningewaona wa maana kama wangemtafutia kazi, sasa gar kama BMW atalihudumiaje sasa? Mmh