Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
She has all indications of someone who won't be there in those years you have mentioned....Mkorogo haufai mpeni miaka 5 atakuwa kama bi kizee
Mwacheni mtoto wa watu mwee.Angalia alivyojikomaza na hiyo rangi., ma stretch marks na hizo alama sijui ni makovu., mvuto umemuishia kabisa
Na hii je?
![]()
mkuu usimlinganishe Wema kuku wa kienyeji na Wema kuku wa kizungu, ni tofauti kabisa.
una akili kama dudu la nyani kweli kabisa......tumia akli kujibu thread.....nani kasema hakuwa mzuri?...buji buji thread yake iko wazi kabisa.....wewe unatuambia mambo yasio na tija.....Wabongo kwa mAjungu.....hamchokii.....Wema mzuri tu.
Ndiyo maana napenda vitu asilia. Wema wa kushoto mtoto amependeza yaani ni moto lakini huyu wa kulia hata akivua nguo zote na kubakia uchi kitu haisimami dah!
sio siri anasikitisha.at first she was something you would'nt wish to stop looking at.but now aaaghhhhhh so boring for real.I wonder what happened to keeping it real. Madada zetu siku hizi wanasikitisha sana. Nilikuwa nampenda sana Wema hasa kutokana na uzuri na mvuto wake.
Wema alikuwa ana rangi nzuri sana kipindi cha nyuma kabla hajaanza kujichubua., sijui nani amemdanganya weupe ndio dili. Ukiangalia picha zake za zamani ni tofauti sana na za sasa., sasa hivi amekuwa kama katuni., magoti yake yamejaa alama, mishipa ya damu unaiona bila hata kutafuta, this is sooo bad.
jamani madada jitahidini kukeep rangi zenu. halafu siku hizi kujichubua ni ushamba., its for the uncivilized people., embu cheki picha zake za zamani hizo mbili na alivyo sasa(alizopiga kwenye nyumba yake mpya)., kwa kweli kwa hili nimemshusha wema kwenye list yangu ya walimbwende. kama kuna rafiki yake yeyote jf jamani amshauri huyu binti aache KUJICHUBUA.. THIS IS TOO MUCH....!
anamkaribia michael jackson.......
Angalia alivyojikomaza na hiyo rangi., ma stretch marks na hizo alama sijui ni makovu., mvuto umemuishia kabisa