Wema Sepetu, bora usingejichubua

Status
Not open for further replies.
kwa taarifa yako hio picha kushoto wema hakuwa natural,alikuwa keshapitisha mkorogo wa kumfanya ngozi ing'ae....hio ya kulia ni kazidisha tu mkorogo,sio kusema alikuwa hatumii....
 
mkuu usimlinganishe Wema kuku wa kienyeji na Wema kuku wa kizungu, ni tofauti kabisa.
 
Wenzio hawalali wanamtafuta usiku na mchana .Mkorogo kwa wengine sio tatizo
 
Wabongo kwa mAjungu.....hamchokii.....Wema mzuri tu.
una akili kama dudu la nyani kweli kabisa......tumia akli kujibu thread.....nani kasema hakuwa mzuri?...buji buji thread yake iko wazi kabisa.....wewe unatuambia mambo yasio na tija.....
 
Atajijuuuu who cares??akitaka ajiloweke kwenye mkorogo kabisa!
 
Mi sielewi kabisa inakuwaje katika karne hii ya 21 bado wadada hawajaelimika. Hakuna kilicho bora kama kitu natural. Watajajutia wakizeeka uso utakapowashuka
 
uyo wa kushoto young, naive, cuuuuuuuuuuuuuute ila uyu wa kulia gumegume
 
Ndiyo maana napenda vitu asilia. Wema wa kushoto mtoto amependeza yaani ni moto lakini huyu wa kulia hata akivua nguo zote na kubakia uchi kitu haisimami dah!
 
Ndiyo maana napenda vitu asilia. Wema wa kushoto mtoto amependeza yaani ni moto lakini huyu wa kulia hata akivua nguo zote na kubakia uchi kitu haisimami dah!


aaaaaaaahhhhhh!!!!!
 
sio siri anasikitisha.at first she was something you would'nt wish to stop looking at.but now aaaghhhhhh so boring for real.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…