Wema Sepetu: I am not a drug addict, and I am not a drug abuser (Exclusive)

Kuna watu Dunia wana scandal hadi unajiuluza huyu amezaliwa na mwanamke mwenye uchi aina gani maana kila baya la aibu yeye yumo tu
 
Kwani mpaka makonda anafikia hatua ya kuwaita kituo cha polisi hakufanya utafiti wa kina kubaini yipi ni mhusika na yupi siyo, na kama kuna mtu ambaye ametajwa na hajihusishi na madawa anatakiwa kuchukua hatua juu ya kudharirishwa
Hii filamu binafsi sijaielewa kabisa
 
Wema ulitangaza tu hapa juzi kwamba 2017 unakuja upya..
Naona ndio upya wenyewe huo kwenye suala la madawa ya kulevya.
Kumbe na weee TEJA..
 
Kwa mujibu wa makonda inasemekana hao waliokamatwa, kuna wale wanaouza na wale wanaotumia, pengine yawezekana wengi wao wanafanya kazi ya kuuza kwa sehemu kubwa ndio maana hatuoni yanawapeleka, ila kwa mtu kama chidi inaonekana moja kwa moja ya kuwa alishakuwa mwathirika wa haya madawa
 
wawe makini, hivi wanajua kama kesi ya madawa ya kulevya haina dhamana? akiwekwa ndani miezi miwili tu huyo hautaamini kama alishawahi kugombea umiss.
 
Wema mwenyewe mambo yake ni madawa ya kulevya hana haja ya kubwia cocaine maana yeye ni zaidi ya madawa ya kulevya
 
Analo bonge la mtindi madam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…