Wema Sepetu: Idris umenifanya nijivunie kuwa mwanamke

Wema Sepetu: Idris umenifanya nijivunie kuwa mwanamke

Mwenzenu alikuwa ana changisha, ati kajaliwa kuwa na kabank kakuhifadhia mbegu au storage tank ndio kale kwenye vile vihips utadhani mimba ya mbuzi Idrisa ndio ame bahatika kukamilisha collection iliyo hitajika kakatengenezwa ka zygote basi subiri uone kiumbe kitakacho shushwa hapo, kitakua na sura ya kila aliye loweka kamba yake, kama una zikumbuka sura zao sasa zichanganye uone salad itakayo patikana hapo,mdomo wa baba flani,uso wa nyumbu wa aliye funga komeo, na viungo tofauti tofauti vya kina nani hii.
loh usitaje nyumbu tutakosana saa hii maana mimi ni certified nyumbe alaaaaaaaaaa
 
hongera yake na mimba ya miujiza baada ya Mondi kumwambia zaa wako mzuri naona wiki mimba ndii mpk gauni linabana dah kila la kheri mama kijacho
 
Moja ya sababu za chadema kushindwa kwenye baadhi ya majimbo ni tabia yao ya kutoka nje ya bunge baada ya kusaini posho.
10987412_1547754618847857_4693284863880757177_n.jpg
 
Teh teh..Mapenzi bwana..Ni kama miezi miwili imepita tangu wema kuachana na Luis zen leo anamwandikia gazeti la mapnz mwanaume mwingine...
Hata mimi nikiachana na huyu kesho kesho kutwa nikimpata mwingine anayenidatisha shurti nimmwagie sifa haaaahaa lazima kujiexpresss ati
 
Wema tuendeshe mama tuendeshe wenzio bila kukutukana stress zetu hazipungui baby girl, kesho andika kingine bana wenzio stress zetu ndio zinaponea hapo bana, maana sisi wenzio ni veeeeer innocent, married na hatukuwahi kubadilisha wanaume kama wewe, yani unatuudhi wewe mtoto.
 
2006 wema anaukwaa umiss wa bongo Idris sultan alikuwa darasa la 7 LY sasa ndio baba mtarajiwa,haya maisha sometime yamejaa drama.mwisho wa siku mtakuja kujua wema hana lolote kama kawaida yake
 
Back
Top Bottom