Wema Sepetu: Idris umenifanya nijivunie kuwa mwanamke

Hakiyanani ingekuwa panaotaga sugu pale…ingekuwa kama ngozi ya goti, ptuuuuuu
 
Hilo la mimba kama ni kweli, asilisikie lara 1, maana litamsababishia huzuni sana
 
2006 wema anaukwaa umiss wa bongo Idris sultan alikuwa darasa la 7 LY sasa ndio baba mtarajiwa,haya maisha sometime yamejaa drama.mwisho wa siku mtakuja kujua wema hana lolote kama kawaida yake
Wakati zarina anajifungua mtoto wa kwanza diamond alikuwa anatambaa. Leo ni baba mtoto wake. Rahaaaaa
 
Huyu Idrisa si ndiye yule alipendwa baada ya kunyakua yale mamilioni?kwani siku zote alikuwa hamjui?kupata mamilioni ghafla akageuka kuwa handsome,hivi aliyafanyia nini yale mamilioni au ndiohivyo tena?
 
Bora hata amekumbuka kumsifia, ni wanawake wachache wanaokumbuka kuwa ambia wenzi wao kuwa ni wa maana kwao, wengi huishia kujishaua, na kujiona wao ndio bora. Hongera Idrisa umekusa kipele kilichokuwa hakijaguswa.
 
Kuna wengine wanajaza macoporlo zaidi ya tatu ila kunanga wenzao sasa.....
 
Reactions: bht
Huyu Idrisa si ndiye yule alipendwa baada ya kunyakua yale mamilioni?kwani siku zote alikuwa hamjui?kupata mamilioni ghafla akageuka kuwa handsome,hivi aliyafanyia nini yale mamilioni au ndiohivyo tena?
Idris ni handsome toka kitambo na maisha yake hayakuwa ya kubabaisha kabla ya BBA, acha wivu mtoto wa kike
 
to tell the truth, nimefurah sana kuskia kwamba Wema ni mjamzito. hii ni kawaida yangu na maombi yangu kwa Mungu kwamba kila mwanamke abebe mimba, na kisha azae mtoto na Mungu amkuzie jamani.
naona hapa wengi wanahukumu lakin jaman gtujiulize hivi kweli kwa miaka 35 aliyonayo Wema pasi mtoto na amekuwa kwenye mahusiano ivi anaumia kiasi gani? hayo ya kuwa na mahusiano lukuki pengine alikuwa anatafuta wa kumpa ujauzito na sasa ndio kampata.
Hebu tuache kuhukumu, tumuombee kwa Mungu azae salama na tupakate mtoto
 
Idris ni handsome toka kitambo na maisha yake hayakuwa ya kubabaisha kabla ya BBA, acha wivu mtoto wa kike
yaani kitendo cha ao kujaliwa kupata ujauzito na sasa wanategemea kichanga jaman tumshukuru Mungu.
Hivi watu wajua burden ya mwanamke kukupata mtoto?? jaman vinauma sana acheni tu.
wanao kandia hapa wajiulize hivi ingekuwa ni wao hawana watoto wangesema\ haya?
 
baada ya kupiga tako tatu inakuwa bwawa kabisa bora ubaki na k yako ya asili


Kila nikisoma meseji zako sikupatii picha huko unakokaa ni dada wa namna gani? Lakini kuna baadhi ya post zako zimeniacha sina mbavu
 
Aka ka Idrisa wanakadanganya tu,kamekuja mjini kwa pupa..hivyo vihela vyake vya big brother vikishaisha ndo katamjua mtoto waa mjini wema..nasikia na ile million nane ya umeme kalijitia kidume kakailipa....!!!katarudi arusha na salawili...
 
Bora hata amekumbuka kumsifia, ni wanawake wachache wanaokumbuka kuwa ambia wenzi wao kuwa ni wa maana kwao, wengi huishia kujishaua, na kujiona wao ndio bora. Hongera Idrisa umekusa kipele kilichokuwa hakijaguswa.
Daah bora ndugu yangu umeliona hilo. Mie kwa kweli nimegusika tu na hayo maneno, khaa yani huku raha tu utadhani nimeandikiwa mimi sasa. Hayo mengine nawaachia wenyewe wapendanao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…