Kutokana na umaarufu alionao Wema, amekuwa akidate na vigogo wenye pesa nyingi, na inasemekana mtu aliemnunulia BMW Wema, naye anahusika katika kuchota pesa za ESCROW.
Mwanadada huyu amekuwa akinufaika na hongo kutoka kwa vibopa vinavofanya ufisadi ktk inchii hii.
Asiye fanya kazi na asile, usemi huu kwa wema ni invalid
Umejuaje acha uzushi una uhakika wivu unakusumbua tu na wewe nenda kahongwe tuone kama utapewa hill gari mwache ahongwe tu kaa wewe unahongwaga chips yai pole zako eeeeh
Hahaaaa , mkuu acha wivu majina yana maana zake bwana wacha binti akirimiwe na shukrani zimuendee mama yake kwa kuchagua jina jema kwa mwanae. Kina sikujua, sikuzani, tabu shida majungu yanawahusu.