Wema Sepetu, Jackline Wolper, Bosi wa GSM ndani ya China kunani?

Wema Sepetu, Jackline Wolper, Bosi wa GSM ndani ya China kunani?

Kitu alichofanyiwa na jina lilichafuliwa sana nadhani kimemfanya awe mwoga na mpole;lakini itakuwa he is the man behind the game
Sina shaka na hilo he is the one who pulls the strings. Said alikuwa mtata sana bastola nje nje,kuna matukio yakikutokea huna budi kubadilisha life style yako
 
Back
Top Bottom