Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Ataolewa mara ngapi
Swali je ana gubu?
Swali je ana gubu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakawa Uchaguzi huwa una hadi ndoa za kuganga. Yaani masharti ya mganga yanakuelekeza ili upite inabidi ukao fulani.Ee bhana eeh huu mwaka umeanza na mbio sana. Huu mwaka utaisha haraka maana si kwa raha hizi!! Ukiangalia mbele raha nyuma raha pembeni raha!! Ni raha juu ya raha!!
Baada ya jux kufunga ndoa, na Hamisa nae anafunga ndoa tarehe 26 mwezi huu wa pili.
Tetesi ambayo ni hoti ni kwamba, Wema Sepetu nae anafunga ndoa mwezi wa nne baada ya ramazani kuisha. Yeye amekataa ndoa za futari ameamua asubiri ramazani iishe ndio afanye yake!! Anafunga ndoa na kigogo mmoja mzito wa serikalini.
Unaambiwa ndoa hiyo itakuwa siri siri. Waja mtaoneshwa mapicha tu. Humo harusini marufuku kuingia na simu au camera!
Hongera ziwafikie wote watakaoingia kwenye ndoa mwaka huu! Mungu atie neema kwenye ndoa zenu.
faida za ndoa ni kupata shoo ya bure kila ukihitaji, kupata watoto wa kujenga familia inayoelewekaNeno langu moja kwa kigogo
NDOA NI UTAPELI. KATAA NDOA
Basi ndo kigogo kauweza huo mfupa.Kuna mtu mwenye akili ambaye bado ana guts za kuoa huu mfupa uliowashinda fisi!!!!1
Mwanetu kigogo wa Gavooo anaambulia gazeti la jioni sana!Ee bhana eeh huu mwaka umeanza na mbio sana. Huu mwaka utaisha haraka maana si kwa raha hizi!! Ukiangalia mbele raha nyuma raha pembeni raha!! Ni raha juu ya raha!!
Baada ya jux kufunga ndoa, na Hamisa nae anafunga ndoa tarehe 26 mwezi huu wa pili.
Tetesi ambayo ni hoti ni kwamba, Wema Sepetu nae anafunga ndoa mwezi wa nne baada ya ramazani kuisha. Yeye amekataa ndoa za futari ameamua asubiri ramazani iishe ndio afanye yake!! Anafunga ndoa na kigogo mmoja mzito wa serikalini.
Unaambiwa ndoa hiyo itakuwa siri siri. Waja mtaoneshwa mapicha tu. Humo harusini marufuku kuingia na simu au camera!
Hongera ziwafikie wote watakaoingia kwenye ndoa mwaka huu! Mungu atie neema kwenye ndoa zenu.
tumshauri mwana aende Singida akienda zile zira za kikazi walau apate siku saba za uchauzi, kina wema wapo wengi tu Singadani!!Kuna mtu mwenye akili ambaye bado ana guts za kuoa huu mfupa uliowashinda fisi!!!!1
Ila sehemu zake za Siri zimetumika sana🤣🤣Ee bhana eeh huu mwaka umeanza na mbio sana. Huu mwaka utaisha haraka maana si kwa raha hizi!! Ukiangalia mbele raha nyuma raha pembeni raha!! Ni raha juu ya raha!!
Baada ya jux kufunga ndoa, na Hamisa nae anafunga ndoa tarehe 26 mwezi huu wa pili.
Tetesi ambayo ni hoti ni kwamba, Wema Sepetu nae anafunga ndoa mwezi wa nne baada ya ramazani kuisha. Yeye amekataa ndoa za futari ameamua asubiri ramazani iishe ndio afanye yake!! Anafunga ndoa na kigogo mmoja mzito wa serikalini.
Unaambiwa ndoa hiyo itakuwa siri siri. Waja mtaoneshwa mapicha tu. Humo harusini marufuku kuingia na simu au camera!
Hongera ziwafikie wote watakaoingia kwenye ndoa mwaka huu! Mungu atie neema kwenye ndoa zenu.