Tetesi: Wema Sepetu kufunga ndoa 2025 na kigogo wa serikalini

Mwakawa Uchaguzi huwa una hadi ndoa za kuganga. Yaani masharti ya mganga yanakuelekeza ili upite inabidi ukao fulani.
 
Na ikawe ndoa ya kheri, ila mpaka kesho namlaani Dr, nurses na wote walioshiriki kumfanyia Wema sajareee
 
Wema kwa sasa ana miaka mingapi? Ina maana huyo kigogo mpaka muda huu hakuwahi kuoa au anaongeza mke?
 
Kwanini unavujisha plan zangu, unajitaka?
 
Kwa mujibu wa mashabiki wa Bongo fleva, Kigogo ni TID
 
Mwanetu kigogo wa Gavooo anaambulia gazeti la jioni sana!
 
Kuna mtu mwenye akili ambaye bado ana guts za kuoa huu mfupa uliowashinda fisi!!!!1
tumshauri mwana aende Singida akienda zile zira za kikazi walau apate siku saba za uchauzi, kina wema wapo wengi tu Singadani!!
 
Ila sehemu zake za Siri zimetumika sana🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…