Sipati picha, wema ndani ya GX na dereva pembeni. Nahisi kaka manager atakuwa PS. Sipati picha anachangia hoja
" Thank you mh speaker kwa this opportunity for me kuchangia, as you know....... Hapo sauti sasa"
Akiwa anashuka na kupanda pale kwenye zile corridle zenye red carpet, aise itakuwa ni shidaaaa.
Wewe kweli unaweweseka sasa wewe kwa akili yako ubunge wa viti maalum Ccm sifa kuu ni ipi?
Saga chupa ubwie sasa ndio utajuwa wenzako wanatowa K kwa malengo.
Mbona hawa watahama jukwaa. Maana kila kona watakutana na mimi
Mimi ni mtu wa siasa naijuwa Ccm vyema nakuhakikishia tembea kifuwa mbele Wema tayari anasubili kuapishwa tena mkoa wenyewe Singida? Kule yupo Mwigulu Nchemba, wengi wanaropoka tu humu hawajui hatamchujo wa ubunge viti maalum vya vijana unafanyika vipi.
Ingekuwa anagombea jimbo ningekwambia hapahapa hata azikiri uchi hawezi kupata ila ubunge wa viti maalum wazee wa Lambojini yale malimao yao wayatunze huu Mwaka Mungu atawaonesha hakuna binadamu mtowa riziki.
weee kasage chupa uchanganye na viwembe unywe mwenyewe!!halafu koma kuniambia mi wema sepetu mwenzangu sawa we mzee?
Hahahaaa kazi wanayo mwaka huu.
Angalia uzi wa zingifuri nimekuita amefunguka kuhusu domo. Hahahaa nimechekaje na vile kila siku alikuwa anatukandia sisi anapata saport leo kamchana domo watu wanapita kimya kimya
yaani dahhh...akipita ntacheka sana...but anything is possible kwa hii nchi!
Mimi ni mtu wa siasa naijuwa Ccm vyema nakuhakikishia tembea kifuwa mbele Wema tayari anasubili kuapishwa tena mkoa wenyewe Singida? Kule yupo Mwigulu Nchemba, wengi wanaropoka tu humu hawajui hatamchujo wa ubunge viti maalum vya vijana unafanyika vipi.
Ingekuwa anagombea jimbo ningekwambia hapahapa hata azikiri uchi hawezi kupata ila ubunge wa viti maalum wazee wa Lambojini yale malimao yao wayatunze huu Mwaka Mungu atawaonesha hakuna binadamu mtowa riziki.
Wewe kweli unaweweseka sasa wewe kwa akili yako ubunge wa viti maalum Ccm sifa kuu ni ipi?
Saga chupa ubwie sasa ndio utajuwa wenzako wanatowa K kwa malengo.
Mimi nakwambia ameshapita, Ccm viti maalum kuna nafasi za vijana kama ile aliyopataga Amina Chifupa.
Mwaka huu ndio mtaamini K zinalipa na nyota kaamuwa kuifanyia kazi mwenyewe.
kwani nani kakataaa,ccm kila kitu kinawezekana,,,yaan we kila kitu uko siasa uko ,sijui nini huko Japan umo yaan sikuwezi aiseee
niite na mie nkaone bas
Wala usingoje mimi nakuhakikishia Wema anasubili tu kuapishwa, kumbuka hajakurupuka huyu hii nchi imeshikwa na watu wakiamuwa uwe Rais utakuwa sembuse ubunge?
Hifadhi hii post yangu utayakumbuka maneno yangu, tena bora hata Amina Chifupa alishinda kwa zile million 100 ambazo Mpakanjia alizitowa dakika za majeruhi.
Wema atauchukuwa Ubunge free free kabisaa mchana kweupe.
Wazee wa Lambojini mbona mnapanic sana wiki hii? Wewe na Warumi wako sasa mjiandae kuhama nchi Mungu si Athumani na wala si Mwamed na ukumbuke mbunge anapewa diplomats passport na airport anapitia vip lounge. Hatai kweikwei!
Ha ha ha kama ni insta amepataaaa na kura yangu kapata
Ccm hairudii makosa kuchagua vilaza n malaya kma 2010 mwaka huu mangula anachuja ile mbaya hataki wajinga ccm
Wazee wa Lambojini mbona mnapanic sana wiki hii? Wewe na Warumi wako sasa mjiandae kuhama nchi Mungu si Athumani na wala si Mwamed na ukumbuke mbunge anapewa diplomats passport na airport anapitia vip lounge. Hatai kweikwei!
Yeye apite asipite atajua,mi nasubiri hiyo siku maana anatakiwa azungukie wilaya zote za singida,akishapigiwa kura singida akapita,mchuano tena unakua dodoma,akishinda heri yake,halaf hakuna aliepanik hapa