Wema Sepetu kugombea Ubunge viti maalum Singida

Hakuna kazi ngumu kama kupata ubunge wa viti maalum. Nimefatilia sana thread ya wema kutaka kugombea ubunge and i can say that watu wengi hawajui hata zile process tu za kumpata mwakilishi wa kukiwakilisha chama katika ugombea wa viti maalum. Kuna mchujo wa hatari sana na watu huonja joto ya jiwe wakati wa uteuzi tu wa ndani ya chama. Simfahamu wema kiundani ila kwa nilivowah kuongea nae kwa dakika chache tu,nikagundua vitu vingi sana na especially her weaknesses, Wema naongea sababu najua na si kwa sababu nyngne yoyote ile. 25 october sio mbali mtakuja ya majibu
 

Sifa ya ubunge wa viti maalum ccm ni bidii yako tu ya kuvuwa chupi Wema ana vigezo vyote wacha kumtisha wewe ni mgeni ccm kaa kimya hujui kitu.
 

Wewe kweli kiazi unaijuwa kweli ccm au unaisikia tu? Yani kina Mwigulu Nchemba watake mahawara zao kupita watashindwaje? Kama unadhani Wema ni mjinga pole sana, Jaji Ramadhani ni lini aliwahi hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi? Je ni lini ametengeneza kundi ndani ya ccm? Pole endelea kulala hujaijuwa ccm hata kidogo.
 

usibishane na anonymous please, if you know well how ccm is than me its ok maybe.... But know that cjaja hapa kumtsha wema bali is true,
Wema i can say sio mjinga na siwez mwita hivo,but naweza kusema ana akiri ndogo ya kufkiri, labda hukuelewa nlichomaanisha kuwa wema ana weakness kibao ikiwemo ya kudandia mambo bila kujpanga thats why hajawah kupanga mpango wa maendeleo ukakamirika au kufanikiwa. Nahisi unamuongelea Wema wa kwenye mitandao na magazeti but mi namuongelea Wema Sepetu wa kawaida ambae hata angenijua mi nani hakika angekosa cha kujitetea. Dnt mind brother/sister ok
 

Kwa hili la ubunge wa viti maalum msingi ni kiuno tu, ccm watu makini hawana nafasi, pole somo hili hulijui, akili kama za Martha Mlata ndio wanaoshinda uchaguzi ccm ndio maana wasomi kama Asha rose Migiro hata ubunge wake ni wa kuteuliwa tu na hajawahi kugombea jimbo.
 

labda nikujibu we muhogo kama ifuatavyo,kabla ya kutaja jina Ramadhani ulitaja cheo cha huyo ramadhani and as i told yule amekuwa kwnye system ya serikali,anacho cha kuongea mbele ya baraza la chama na kuwacomvice hata wakiangalia ana historia cas huwez kuwa jaji bila kuwah kuwa hakim, na anafaida kwa chama kama mwanasheria, pili hajagombea viti maalum ambvyo ndo agenda yangu, tatu huwez mfananisha jaji yoyote na wema, if anahisi atafanikiwa kwa kuvua chupi kama akir yako inavokuongoza ameferi kwa 100%,last just go and fatilia historia za wabunge mmoja baada ya mwngne then utaona kama kuna hata mmoja anafanana na wema.
 

Jaji Warioba hajawahi kuwa hakimu hujui unachokiandika.

Jaji Ramadhani ni mgombea dhaifu ccm kuliko wagombea wote hana uwezo wala mtaji wa wanachama wa kumpigia kura, yeye anagombea huku akitegemea kuwezeshwa na wale waliomshawishi agombee, je unajuwa Wema ameambiwa na kigogo gani achukuwe fomu?
 
Ngabu
naona hujui how things have changed to worse in Tz..
unaweza shangaa huyo Wema akawa even better kulinganisha na takataka zingine zitakazopewa ubunge

Tulipo sasa imefikia hadi watu hawataki kujadili tena
utaona watu hawajadili kabisa why so and so hawafai
hali iliyopo ni disbelief kwamba watu wa ovyo zaidi ndo wanazidi kuongezeka kwenye siasa
 
Mimi nilivyoona hii picha na maelezo kwamba huyu mwanamke anayeitwa Mange Kimambi anachukua fomu za kugombea Ubunge nilidhani labda ni April Fool!

Kumbe ilikuwa ni kweli.



Kwa mtaji huu, kama Rais atatoka CCM, itambidi atumie nafasi alizopewa kikatiba kuteuwa watu 10 ili apate mawaziri wa serikali yake!
 
tuliposasa bora tumpe tukaangalie na yeye amasemaje
 

kweli mkuu watu wa hovyo kabisa ndio wanazidi kuongezeka kwenye siasa.
 
Mm nilistushwa sana na mswaada wa Habari, eti sharti Mwandishi wa habari (hata wa GP) awe na Bachelor degree!!

Mbunge (mtunga sheria), ajue kusoma na kuandika (Lusinde). Cc Magamba + Stupid Bunge la Katiba!!
 
Last edited by a moderator:
Ni vizuri mtu atakaye nafasi za kuongoza au kuwakilisha watu fulani, basi iwe hata yeye binafsi awe kwanza ameweza kujisimamia na kujiongoza kwa mifano na siyo ujanja ujanja hapa nina maana kuanzia nyumbani kwake na watu waliomzunguka.

Umaarufu wa mtu ni one thing na sifa za uongozi na kiongozi ni vitu vitatu tofauti...Waone aibu kidogo na wawaonee huruma Watanzania kwani Taifa linahitaji viongozi wazalendo wenye weledi na siyo vice versa.
 

kinachotisha zaida hao ndio watatungia sheria na kuweka vipaumbele vya sera za serikali!
 

kama hawa wengine
 

Attachments

  • 1437167860713.jpg
    16.6 KB · Views: 200
wot I can see ni kwamba,baada ya kuona murano mbovu,na BMW nayo haimpi amani,new anasaka ubunge ili apate usafir wenye status kupitia mgao was waheshimiwa,also anataka aongeze idadi ya show kwa msanii wake mirror ktk mikutano atakayo kuaanafanya..na so kuwatumikia RaIA..otherwise tukumbuke kuw kwasasa Wema a ananjaa Kali ya kuwaoshea madiva wenzake(TAKE NOTE)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…