Wema Sepetu kugombea Ubunge viti maalum Singida

Kweli Tanzania itakuwa imepaliwa na mapepo manenemanene kama huyu twisted mind-set atakaa bungeni.
 
Hakika Wema akiwa Mbunge ....nitashangaa sana....! Lakini kwa kule singida hawezi pata na sidhani kama ana harakati zozote kwa Chama cha mapindizu!

Kwa CCM inawezekana, hii nchi inaelekea pabaya, huyo wema akili hana wala Elimu hana, uko bungeni anaenda kufanya nn? Mbunge gani ukimgoogle kutwa unakuta picha kakumbatiana na wanaume tofauti et mbunge khhaa, labda kidogo LADY JAYDEE, ubunge sio umaarufu tu, heshima nayo muhimu, sio kama tunawadharau wasanii, mbona sugu kaingia bungeni? Tatizo wema mchafu sana
 
Muigizaji marufu na x-girlfriend wa Diamond platnumz, Wema Sepetu amechukua fomu ya kugombea ubunge wa viti maalum kupitia CCM.

Akiongea na host wa kipindi cha ala za roho cha clouds fm kilichorushwa hewani tarehe 16 juni 2015 mmiliki huyo wa lebo ya Endless Fame amethibitisha hilo kwa njia ya simu alipohojiwa.

Je, Utitiri huu wa vijana ndani ya ulingo wa siasa utaleta mabadiliko chanya kwa taifa mbeleni au ndio wengi wao wanafuata ulaji kwanza?

Shukran.
 
Huyu chiz ngoja sasa siasa imtie adabu, anahis huko n instagram palko jmaa mashangingi wenzie eeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…