manopter2010
Member
- May 16, 2013
- 92
- 17
huyo tena anataka apeleke mambo yake ya kipuuzi bungeni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Wema akiwa Mbunge ....nitashangaa sana....! Lakini kwa kule singida hawezi pata na sidhani kama ana harakati zozote kwa Chama cha mapindizu!
Ha ha ha ha mwehNaona bungeni pamekua Lodge sasa....
Mhh.., uhuru wa kikatiba! We chama chao utawajua tu! Mwaka huu tutashuhudia mengi sana.
Ana haki,kama na wewe unajiona unafaa kachukue tu,na sio kujiuliza kuhusu wengine wanaochukua form