black peace
New Member
- Mar 27, 2015
- 3
- 0
Aaaah huu Ni ulaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Wema akiwa Mbunge ....nitashangaa sana....! Lakini kwa kule singida hawezi pata na sidhani kama ana harakati zozote kwa Chama cha mapindizu!
Hafai nasema tena hafai kwa moyo wa dhati hatufai hana hoja she is too junior have no ability to manipulated just a single sentence of elites like Lisu mnyika mdee and others
Madame akiingia bungen warumi na dinazarde watahama jamii kama sio kuozea jela kabisa
ahahahah hii picha nitaitumia kama picha yake ya kampeni ili asishinde huko singida hakyamungu
Hayo ni makalio ya mbunge wetu mtarajiwa!!nitahakikisha naiwasilisha kwa kamati kuu ya ccm singida!mbunge gani ana matattoo?aliambiwa ni chama cha watembea uchi hiki?
kwenye hii sherehe mkuu!mbunge gani wa hivi;
Nina hakika bado mnayo yale malimao ya Lambojini ambayo jana imeshindikana kuwalambisha watu, basi muyahifadhi Wema Sepetu anakidhi vigezo vyote vya kuwa mbunge wa vitu maalum ccm tena anavyo vigezo vya ziada.
Jiandaeni kisaikolojoa kama mlikuwa hamuijui ccm sasa ndio mtaijuwa na ndio mtaelewa ni kwanini siku zote tunapambana kuing'oa ccm madarakani.
Hivi mnamuonea Wema tu hawa kina Vicky Kamata, Amina Chifupa Mboni Mhita and likes wana sifa zipi?
Nawahakikishia Wema atashinda kwa kishindo tena kwa ushindi wa mafuriko ndio mtaijuwa ccm muache kuikatikia viuno.
All th best Wema sepetu.
Now mimi siongei sana nangoja ushinde watu wasipohama jukwaa kama ilivyo kwenye Tuzo za ktma
Wala usingoje mimi nakuhakikishia Wema anasubili tu kuapishwa, kumbuka hajakurupuka huyu hii nchi imeshikwa na watu wakiamuwa uwe Rais utakuwa sembuse ubunge?
Hifadhi hii post yangu utayakumbuka maneno yangu, tena bora hata Amina Chifupa alishinda kwa zile million 100 ambazo Mpakanjia alizitowa dakika za majeruhi.
Wema atauchukuwa Ubunge free free kabisaa mchana kweupe.
Nasema hivi labda sifa unazozisema labda hizi hapa
Kwa picha hii utakuws umemuongezea sababu za ziada za kamati kuu kupitisha jina lake.
Kuna watu wao kumkojolea miss Tanzania kwao ni fahari tosha.
Andaa malimao kwa wingi Madam ndio huyo kashapata mlango wa kutokea.