Wema Sepetu kushiriki Big Brother Africa

Wema Sepetu kushiriki Big Brother Africa

Unatakiwa ufaham kwanza BBA ni kuchanganya watu ipatkane interracial sex relationship, sasa wewe hutaki shem kutoka abroad...by the way huku ndani kishamaliza kwann asiende tafuta nje?
 
Si yule dem wa Kanumbi, jumbi,.........na Daimondi etc.
 
huyo huko ni sehemu yake sahihi kabisa.!
 
Shindano la kutafunana...kama kweli kapewa nafasi hiyo tutegemee kuaibishwa kama kwa yule mwingine!
 
Katika Amplifaya Ya Clouds Fm Na Milad Ayo Wema Amekanusha Kuchukua Fomu Za Bba Sa Uu Udaku
 
Ni hivi punde nimeiona hii kupitia blog ya www. miss Jestina george.com,kwamba wema sepetu msanii mwenye kila aina ya vituko lukuki,kwamba ni miongoni mwa watanzania ambao wako mbioni kutua katika lile shindano la Big brother afrika,2013.

My take:hivi ni namna gani huu mchakato wa kupata wawakilishi wa taifa hili huko big brother afrika unavyoendeshwa?

Je ni katika upana gani mchakato huu hutangazwa nchi nzima ili watu wengi waweze kujitokeza ili kumpata mtu sahihi mwenye upeo mpana mwenye kuweza kuchanganua mambo kulingana na dunia ya leo.
Ebu wadau kwenye hili tueleweshane kuhusu hnii multichoice na jinsi inavyofanya shughuli zake hapa nchini.
Nenda wewe mtakatifu, ulinde heshima ya Tanzania
 
Back
Top Bottom