Wema Sepetu kushiriki Big Brother Africa

Unatakiwa ufaham kwanza BBA ni kuchanganya watu ipatkane interracial sex relationship, sasa wewe hutaki shem kutoka abroad...by the way huku ndani kishamaliza kwann asiende tafuta nje?
 
Si yule dem wa Kanumbi, jumbi,.........na Daimondi etc.
 
huyo huko ni sehemu yake sahihi kabisa.!
 
Shindano la kutafunana...kama kweli kapewa nafasi hiyo tutegemee kuaibishwa kama kwa yule mwingine!
 
Nadhani BBA ni individual prestige rather than national.....
 
Katika Amplifaya Ya Clouds Fm Na Milad Ayo Wema Amekanusha Kuchukua Fomu Za Bba Sa Uu Udaku
 
Nenda wewe mtakatifu, ulinde heshima ya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…