Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu mchagulie mpenzi basi tusikie na sisi. Inaelekea unamwonea wivu Wema kwa msukuma, unatamani ungekuwa wewe. Kichwa chako hakiko sawa wewe!Niko hapa Geita Desire Park .Hii ni klabu ya kisasa hapa Geita. Nimemuona Msukuma akiwa na Wema Sepetu katika hali ya mahaba mazito. Kwa kiwango cha umaarufu wa Wema hakutakiwa kujihusisha na Mkusuma fisadi mdogo.
Kwani msukuma siyo mtu.acha dharau
Niko hapa Geita Desire Park .Hii ni klabu ya kisasa hapa Geita. Nimemuona Msukuma akiwa na Wema Sepetu katika hali ya mahaba mazito. Kwa kiwango cha umaarufu wa Wema hakutakiwa kujihusisha na Mkusuma fisadi mdogo.
Mkuu kumbe na wewe ni wale hawavumi lakini wamo...masato pesa kitu kingine mi niliwai kumkaza ant ezekiel kwa laki moja mwaka2010 ilikua jolly club
Kama serikali ingeanzisha utaratibu kuwa mtu akiwa na mchepuko zaidi ya mmoja basi hiyo inayozidi alipie kodi basi huyu dada kingekuwa chanzo kikubwa cha mapato kwa serikali. Hiyo kodi ambayo angekuwa anakusanya ingebidi awe anashughulikiwa na kile kitengo cha " Big Tax Payers"
Niko hapa Geita Desire Park .Hii ni klabu ya kisasa hapa Geita. Nimemuona Msukuma akiwa na Wema Sepetu katika hali ya mahaba mazito. Kwa kiwango cha umaarufu wa Wema hakutakiwa kujihusisha na Mkusuma fisadi mdogo.
Huyo angekuwa anatumia logbook kwa kazi hiyo sasa hivi angekuwa amesha jaza shelfu ya logbook zilizotumika.