Wema Sepetu kwaheri, anachukuliwa hadi na Msukuma!

Wema Sepetu kwaheri, anachukuliwa hadi na Msukuma!

Niko hapa Geita Desire Park .Hii ni klabu ya kisasa hapa Geita. Nimemuona Msukuma akiwa na Wema Sepetu katika hali ya mahaba mazito. Kwa kiwango cha umaarufu wa Wema hakutakiwa kujihusisha na Mkusuma fisadi mdogo.
Hebu mchagulie mpenzi basi tusikie na sisi. Inaelekea unamwonea wivu Wema kwa msukuma, unatamani ungekuwa wewe. Kichwa chako hakiko sawa wewe!
 
Sidhani kama kuna haja ya kum discuss Wema kwani sioni la ajabu ktk tabia yake hiyo
 
Niko hapa Geita Desire Park .Hii ni klabu ya kisasa hapa Geita. Nimemuona Msukuma akiwa na Wema Sepetu katika hali ya mahaba mazito. Kwa kiwango cha umaarufu wa Wema hakutakiwa kujihusisha na Mkusuma fisadi mdogo.

Ficha upumbavu wako wewe Juha...

Kwani Wasukuma sio binadamu??...
 
Anamaanisha Joseph Kasheku Musukuma mbunge na mfanyabiashara pia huko Geita hamaanishi Musukuma kama kabila.
 
Kama serikali ingeanzisha utaratibu kuwa mtu akiwa na mchepuko zaidi ya mmoja basi hiyo inayozidi alipie kodi basi huyu dada kingekuwa chanzo kikubwa cha mapato kwa serikali. Hiyo kodi ambayo angekuwa anakusanya ingebidi awe anashughulikiwa na kile kitengo cha " Big Tax Payers"

Hahahahaa,big tax payers
 
Hata mimi namtafuta, I heard some gossip somewhere that she is so sweet!
 
Niko hapa Geita Desire Park .Hii ni klabu ya kisasa hapa Geita. Nimemuona Msukuma akiwa na Wema Sepetu katika hali ya mahaba mazito. Kwa kiwango cha umaarufu wa Wema hakutakiwa kujihusisha na Mkusuma fisadi mdogo.



Acha wivu wa kike. Msukuma huo hasimamishi na kupenda? Ni maisha ya wema tafuta yako nawe.
 
Kwani huyo sio mwanaume? Tena utakuta anapiga kazi kuliko wewe maji ya uvuguvugu
 
When God gives a woman beauty without brains..private parts suffer the most
 
Ungeweka uthibitisho ingekuwa nzuri zaidi
 
Back
Top Bottom