Wema Sepetu kwaheri, anachukuliwa hadi na Msukuma!

kwani msukuma siyo mwanaume peleka huko ulofa wako haya wewe ambaye siyo msukuma umemzidi kipi msukuma mwenzako anamkwanja wa kuhonga wewe kazi umbeya tu

vijana wivu na umbeya umewazidi, msukuma ana kasoro gani asimlale wema!
 
Musukuma povu lote unalotoa kutetea kimada wako huwezi kuishinda vita hii.
 
Leo nimeivulia kofia JF kumbe povu lote mzee wa bangi anatoka na madame? ukiona mwanaccm anajilipua vile jiulize mara kumi kumi si bure.
 
Niko hapa Geita Desire Park .Hii ni klabu ya kisasa hapa Geita. Nimemuona Msukuma akiwa na Wema Sepetu katika hali ya mahaba mazito. Kwa kiwango cha umaarufu wa Wema hakutakiwa kujihusisha na Mkusuma fisadi mdogo.
Du! Kumbe drug dealers ni wengi aise. Ndio maana wanahaha. Kumbe msukuma naye ndio wale wale
 
Ukishawapanda tu ni madongo tu, makahaba wenye viwango.
 
Msukuma alilipa pango la nyumba mwaka mzima wakati yeye anaishi Geita na akiwa Dar anawekwa underground.
 
Nilikuwa naamaanisha Joseph Kaseku Musukuma,mbunge wa Geita.


Mkuu hii nadhani alikuwa ana maanisha Musukuma jina siyo Kabila, 2015 leo 2017 wanateteana.
 
Niko hapa Geita Desire Park .Hii ni klabu ya kisasa hapa Geita. Nimemuona Msukuma akiwa na Wema Sepetu katika hali ya mahaba mazito. Kwa kiwango cha umaarufu wa Wema hakutakiwa kujihusisha na Mkusuma fisadi mdogo.
Ndio kazi yake,wanamlipa pesa,juzi kati alikua na yule mkuu wa wilaya ya hai,ole sabaya,anamnunulia nguo.huyo dada hafai
 
Niko hapa Geita Desire Park .Hii ni klabu ya kisasa hapa Geita. Nimemuona Msukuma akiwa na Wema Sepetu katika hali ya mahaba mazito. Kwa kiwango cha umaarufu wa Wema hakutakiwa kujihusisha na Mkusuma fisadi mdogo.
Nenda kaliwe wewe umukomoe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…