sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Wewe lazima uliachika na member wa wcb..sio kwa chuki hiziHao wako kibiashara na kutafuta fursa
Wasikudanganye zuchu, kafanye mazoezi
She's a starBinafsi nimemwelewa sana huyo binti...[emoji91][emoji91][emoji91]
Wanawake ndio majaji wazuri wa muziki, wakishakupitisha masela watabaki kubonga mbaya.Wakawaida saaana
Na hichi ndicho nilichokiona na kasura kake kazuri..alafu huyu zuchu ana likiuno flani hivi lain kama urojo
Mzee unachuki sanaHao wako kibiashara na kutafuta fursa
Wasikudanganye zuchu, kafanye mazoezi
@sinzapazuri Yupo good ana vocal nzuri Sana nilianza kumkubali kwanza kwenye zile jingles alizokuwa anafanya wasafi media alafu anajua kubadilika naamini soon ataanza kuleta Radha tofauti na hii ya sasa nilijua Hili kupitia ngoma yake ya two by two akiwa hapo bado hajasainiwa wasafi hiyo ngoma acha kabisa Ni club bang fulani hiv amaizing.Kwa sasa nakubali ngoma yake ya #RahaMastaa wa kike wenye ushawishi mkubwa haswa kwa wanawake na wenye mamilioni ya mashabiki, wameonyesha kuchanganyikiwa na kipaji pamoja na kazi za Zuchu msanii wa kike toka WCB.
Wamekuwa wakipost mfululizo wakiserebuka na nyimbo nzuri za msanii Zuchu.
Wataalam wa mambo ya muziki wamesema hii ni ishara nzuri kwa msanii huyu kutoboa zaidi kimataifa.
Ama kwa hakika Zuchu kapendwa na kila mtanzania. Kongole kwake.
View attachment 1472526View attachment 1472527View attachment 1472528View attachment 1472529
Na hichi ndicho nilichokiona na kasura kake kazuri..
Mkuu hivi mbinguni tutafika kweli..[emoji23]
Mzee unachuki sana