Wema Sepetu, Lulu, Hamisa na Tessy Chocolate wapagawa na uwezo wa Zuchu

Wema Sepetu, Lulu, Hamisa na Tessy Chocolate wapagawa na uwezo wa Zuchu

Zuchu anatafuta support ya wabongo movie badala ya wanamuziki ili akuze kipaji chake. All the best, naona anatafuta popularity badala ya kutafuta kukua kimuziki
Mtoto anaji brand vizuri,kuimba vizuri atazidi kuimarika hata kina Rayvanny walianza hivi hivi
 
Yaani hivi vidampa kuimba nyimbo zake ndio ajione star au katusua, ama kweli ujinga n mzigo. Akaze buti atafka atakako but not now.
Vidampa, [emoji23][emoji23][emoji23] hili neno kitambo sana kulisikia.
 
Mi namuomba aimbe na taarabu maana miondoko ya taarabu na sauti anayo...
 
Bongo movie bhana wameshindwa kuendesha tasinia yao saiz wanapiga promo kwa wanamuziki amabo wao wanaamni anaweza kuwa na maajabu kumbe hana 🤣 🤣 🤣
 
"Na nyinyi watangazaji kwann wambeya ngoma sio kali alafu mnatetea na maneno mengi kelele za kidedea kwahali hii ndio maana wanapotea" shenzi type 🎶🎶.....
 
Embu namba yake nimpeleke Ulaya akale maisha sio kukaa na hawa watoa makalio kina kawe Alumni
 
Ila hapa kwa Zuchu, Diamond na WCB yake waliingia choo cha kivita. Bora wangemtambulisha kama muimba Taarabu kutoka WCB
 
Ila hapa kwa Zuchu, Diamond na WCB yake waliingia choo cha kivita. Bora wangemtambulisha kama muimba Taarabu kutoka WCB
Huyo dada yupo vizuri Sana anaweza kuimba mziki wa aina yoyote subiri aanze kutoa ngoma tofauti na ladha za taarabu
 
Huyo dada yupo vizuri Sana anaweza kuimba mziki wa aina yoyote subiri aanze kutoa ngoma tofauti na ladha za taarabu
Diamond amemchukua Zuchu na kumpa promo bab kubwa isiyo na malipo hata kidogo.

Zuchu ni hasara kubwa sana kwa WCB kwa mwaka 2020.
 
Back
Top Bottom