utanipa kwanza pm heheeeeee
ahahahahaha!!!Dina mi nasubiria hizi tuzo zipite kwanza!nitakuletea ubuyu exclusive wa JUX kumchomolea WEMA!!
Lete ubuyu karushe kwa group basi tujue sie kwanza.
ahahahahaha!!!Dina mi nasubiria hizi tuzo zipite kwanza!nitakuletea ubuyu exclusive wa JUX kumchomolea WEMA!!
utanipa kwanza pm heheeeeee
humu humu ndani nitakinusha we subiri tu tuzo zipite kwanza
Na wewe unataka tukufungulie special thread!
Halafu weweee!
Mnapeana kwa team eeeh
utanipa kwanza pm heheeeeee
Hahaaa leo umeua hizo picha ni ebola hiyo au mana mbna miguu ina vidonda.....namuona mumewe jumbe teja kwa mbaaaaaali
subiri dina!!nimevuta subira makusudi nasikilizia upepo wa MTV kwanza upite!!!umbea hauna mwenyewe niamini!!mpaka kimbley nimeupata??
hhhhhhaaaaaaaaaa
Wa2 wana mahaba mpka n mateja lazma wema n tena mana huwezi ishi na teja usivute sembe
mbuge mtarajiwa vitimaalumu
Kenge wahedimbuge mtarajiwa vitimaalumu