Wema Sepetu "Madame" Fans' Special Thread, Njooni tukutane hapa

Mbunge wetu mtarajiwa
 

Attachments

  • at Sunday, April 07, 2013.jpeg
    19.1 KB · Views: 302
  • Maumbile ya nyuma ya Wema Sepetu hadharani___chek.jpeg
    35.6 KB · Views: 419
  • super star wema sepetu.jpeg
    25.3 KB · Views: 261
Ila watu kwa kujudge wengine hatujambo. Wemasepetu ni star ndo maana kila anachofanya kinawekwa wazi. Embu jiulize au chukua kalamu anza kuandika tangu shule ya msingi hadi leo imekua na wanawake au wanaume wangapi?. Anaeweza kumnyooshea kidole wemasepetu ni bikra tu wengine wote ni wazinzi na hatuna haki ya kumwona wemasepetu hafai . Angekua hafai diamond unadhani hakujua km wemasepetu alikua na mahusiano mangapi ya nyuma??? Ww mwanamke au mwanaume unaanza uhusiano ukijua mtu ulienae alikua na mtu na maisha yanaendelea leo unaandika wemasepetu hafai. Acheni kujudge kinafiki semeni ukweli.
 
Go go go Wema its ur time,hayo mambo ya mapenzi wengi wameyapitia na wengine bado wanaendelea. Mtu hawezi kumuhukumu mwenzio kwa mambo yaliyopita.Wanakukubali mama ndo maana hawaachi kukushobokea kwa kutafuta mambo yako👌
 

Kati ya kitu ambacho huwa sifanyi ni hichi, kuna watu humu tuna ma dhambi ya kila rangi, inafikia muda nasahau watu nilotembea nao haaahaa lol!
 
mie sio mfatiliaji sana wa hawa wanao jiita mastaa wa bongo

ila nataka kujua wema sepetu ana elimu gani ili nijue ana upeo gani
wa kufikiri coz kafeli movi mabwana wa kumuhonga sasa anajaribu
siasa kama a wey out
 
Hiyo heading yako,HELIMU,Ndo kitu gani,hebu tukuulize wewe unahelimu gani make ata kuandika hujui
 
KAMA HuJUI Sema S

Kama ndiyo sema N

Kamahapana sema. H
 

Attachments

  • IMG_819924938746.jpeg
    29.7 KB · Views: 253
  • IMG_22658840904898.jpeg
    8.4 KB · Views: 250
Anafaa kama akipambana kuingia kwenye uchaguzi na wananchi wakamchagua, lakini kama ameshazoea vya bure ati mbunge wa kuteuliwa apo tatizo kidogo
 
Ndiyoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooöoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Nadhani waliosema ndio wameshinda. Hivi si bora ya Wema kuliko matusi ya kibajaji?
 
mie sio mfatiliaji sana wa hawa wanao jiita mastaa wa bongo

ila nataka kujua wema sepetu ana helimu gani ili nijue ana upeo gani
wa kufikiri coz kafeli movi mabwana wa kumuhonga sasa anajaribu
siasa kama a wey out


form four tu
 
CCM SI Kuna wabunge anafananao kwanini asishindee
 

Sasa unataka ujadiliwe wewe!?

YEYE KAINGIA KTK SIASA, MADUDU YAKE KUFUKUNYULIWA NI LAZIMA. UJINGA NI YEYE KUICHAFUA PROFILE YAKE HUKO NYUMA.
 
form four tu
Jana kaandika Instagram amesoma international relation ila baba ake alitaka asome political science siku hizi form four kuna hizo kozi??? Pia nkaona dada ake wa karibu mange nae kasema ana form four agombee tu atasoma mbele kwa mbele!!!
mheshimiwa ana elimu gani form four au kasoma pia chuo "chaurembo training college"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…