secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Hataki kukubali kwamba ni bibi....!1990 September 28 kazaliwa
1995 January darasa la kwanza, miaka 4
2001 September 25 necta darasa la saba, miaka 10
2002 January form one, miaka 11
2005 nov form four, miaka 15
2006 August, miss Tanzania, miaka 15
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ikifika 2030 , atasema amezaliwa 2000 [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli kabisa,,,ila kuna kipindi inabidi ukweli usemwe maana sura yake ishaanza kuzomea watu..Maana alikuwa mrembo miss Tz 2006 na alikuwa Ana 20
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sura ishaanza kutuzomea,,,sasa hana ujanja1990 September 28 kazaliwa
1995 January darasa la kwanza, miaka 4
2001 September 25 necta darasa la saba, miaka 10
2002 January form one, miaka 11
2005 nov form four, miaka 15
2006 August, miss Tanzania, miaka 15
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ikifika 2030 , atasema amezaliwa 2000 [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hesabu hiyo, inamaana 2006 wakati anashinda umiss alikuwa na miaka16 😂😂😂😂😂😂. Hawa watu watatumaliza kwa uongo jamani.Huyu wema Sepetu anamiaka 30, ivi aligombea umiss akiwa na miaka mingapi? Mana iyo 2006 , me nilikuwa form one . Nikiangalia miaka yangu mpaka sasa naona kanizidi miaka 2 tu.
Kiujumla Mimi nimekuwa Ila yeye naona yuko stagnant, hata kumkula naweza Sasa,
Huyo ana zaidi ya 36 ,,kuanzia mwaka 2012 alikuwa kila mwaka anasema ana 24,,kasimama Mara 4 kila mwaka ana 24 haipandi..
Sasa kaona aibu baada ya nyama za mikono kushuka,na uso wake kuanza kuzomea watu...
Muanzisha mada na wachangiaji nendeni kwa page ya mange kimavi insta. Ameelezea kwa kirefu sana. Maana enzi za umiss mange na wenzake walifoji umri wa wema.Leo ni kumbukumbu ya kuzaliwa ya Twiga wao wanamwita Tanzanian Sweetheart(japokuwa binafsi huwa sioni urembo wake).
Binafsi yeye amesema kuwa ametimiza miaka 30 Ila wadaku wa mambo wanakuambia si miaka 30 bali 32 kwasababu amezaliwa mwaka 1988 so up to now ilitakiwa iwe miaka 32.
Hii tabia ya kudanganganya miaka wanayo mastar wengi wa kike si Tanzania pekee bali duniani kote sijajua sababu ya wao kufanya hivyo.
Labda wanataka wapate madili na wadate na wakaka wadogo labda ndio sababu
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Huyo ana zaidi ya 36 ,,kuanzia mwaka 2012 alikuwa kila mwaka anasema ana 24,,kasimama Mara 4 kila mwaka ana 24 haipandi..
Sasa kaona aibu baada ya nyama za mikono kushuka,na uso wake kuanza kuzomea watu...
Huendi mbinguni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo ana zaidi ya 36 ,,kuanzia mwaka 2012 alikuwa kila mwaka anasema ana 24,,kasimama Mara 4 kila mwaka ana 24 haipandi..
Sasa kaona aibu baada ya nyama za mikono kushuka,na uso wake kuanza kuzomea watu...
Ukweli mchungu mkuuHuendi mbinguni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni kweli lakini sura ikishaanza kuzomea watu huna sababu ya kuficha umri tena.Mwanamke huwa haulizwi umri bana, mara zote huwa nawaita Totoz, Flowers and Sweet 16.....
Muanzisha mada na wachangiaji nendeni kwa page ya mange kimavi insta. Ameelezea kwa kirefu sana. Maana enzi za umiss mange na wenzake walifoji umri wa wema.
Alikua 16 years old. Sema wakafoji birth certificate na passport aonekana 18. Wanoko wakafuatilia shule kufukunyua. Mdingi na maza wakawapiga mkwara shule mkionesha documentos za mwenetu tunawashtaki.
In short walimuongezea miaka miwili ili awe halali kugombea. Eventually akashinda umiss huo 2006.
Wema this year kwa umri ule ule wa kudanganya this year alitakiwa awe 32.
Sema inaonekana km ametubu na kutamka umri wake sahihi mwaka huu ambao ni 30.
Tena Mange anasema yawezekana pia ana 29. Ila for sure 30 according to yeye ndio umri halisi.
Hivo wajumbe mueleweni. Ameamua kuwa muwazi this time around.
Nje ya mada.....hivi vyombo vya Sheria haviwezi mshitaki kweli??