Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Mwisho wa picha, wapo nje kwa dhamana, uchunguzi unaendelea!
 
Chichemi chimung'unyi chimechi chipendi na wala CHITONGOCHI mchichana yoyote
 
Mwenye pop corn za cholate azisogeze karibu series mpya imeanza
 
............kuna kitu kinasahaulishwa katika nchi hii ya mtukufu kwa haya matukio.

Anyway ....vipi uhakiki unaendelea..?
 
Mbona kwenye hiyo list aliyoitoa makonda sijaliona jina la Vanessa mdee?
 
mi nafikiri kuna mistake mahali.....namuonaga anajielewa sana
Kutumia drugs haimaanishi haujielewi. Watu wanatumbukia kwenye drugs kwasababu tofautifotauti. Wapo wanaotumia cocaine kupata creativity zaidi. Na hapa watu wa sanaa ndiyo victims zaidi. Nataka ufahamu drugs kama cocaine inauwezo kusaidi kukurudisha kwenye original thoughts na hapa ndipo creativity ilipo. Nilisikia mahojiano fulani artist fulani alisema alipokuwa akitumia cocaine ilimfanya aone kama vile she can conquer the world. Na ni kweli...cocaine inakupa drive.....wasanii wanataka hii drive ndiyo maana wanatumbukia huko. Vanessa yeye ni artist ni rahisi tu kutumbukia. Mtu kama Oprah Winfrey huwezi dhani alikuwa anatumia crack cocaine.

Jambo jingine, watu wanatumia drugs kukabiliana na ugonjwa fulani au kupunguza maumivu. Kama ulimsikia Chid Benz alisema anaumwa sana tumbo na hiyo cocaine/Heroin anatumia inamsaidia kupunguza maumivu.

Waathirika wa drugs tusiwalaumu wala kuona wakosaji sana......nakwamboa yoyote yule inawezekana ukatumbukia. Yeyote yule. Ombea uishi maisha yasiyo na msongo wa mawazo au magonjwa. Hata matumizi ya drugs za Hospital kwa muda mrefu yanaleta urahibu na mwisho ni kifo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…