Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Kupitia "mr. informer" ya clouds fm majina ya watu maarufu ikiwemo askari wakubwa na wasanii wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya yatajwa na mkuu wa mkoa wa dar-es-salaam makonda, kwa wale waliosikiliza unaeza share na sisi humu.
Askari wakubwa ndo nini wewe? sema polisi.
 
Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.

Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya
Huku wasanii watumiaji wa madawa hayo wakitajwa na kutakiwa kuripoti polisi wenyewe mapema ,

wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5.Recho(kizunguzungu)

SOURCE; Clouds FM (Informer)
Nimeanza kuona mabadiliko ya serikali,,
 
Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.

Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya
Huku wasanii watumiaji wa madawa hayo wakitajwa na kutakiwa kuripoti polisi wenyewe mapema ,

wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5.Recho(kizunguzungu)

SOURCE; Clouds FM (Informer)
Sasa mbona Clouds wameshuindwa kusema na mtangazaji wao wa kipindi cha tegua mtego ametajwa ndugu Babuu wa kitaa?
 
Wema kila siku anasema ana ujio mpya mwaka huu,naona kumbe jela ilikua inamuita,namtakia maisha mema ya ujio mpya,kweli mwaka 2017 mwaka wa wema sepetu
Huyo ana kadi ya chama chetu CCM, hawezi kwenda jela.
 
Back
Top Bottom