Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Namchungulia tu sioni akisema chochote.binamu mwili unasisimka aiseeh, nasubiri kauli ya mange,anajifnya anachukia san wauza unga, kwa wema sijui atasemaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namchungulia tu sioni akisema chochote.binamu mwili unasisimka aiseeh, nasubiri kauli ya mange,anajifnya anachukia san wauza unga, kwa wema sijui atasemaje
Wabongo washavamia page ya petii wanamshushia kichmbo,Wengine wanamwambia rest in peace,aaaah dah wabongo nomakaka meneja huwa anatengwa kwenye hii deal inamuhusu Wema na Petit man wakuache.
Hahahahahaa.. Siku mkuu wa mkoa akimuona Mange nadhani atampa kwanza makonzi kabla ya kumpeleka mahakamaniHii list inawezekana mkuu wa mkoa alishuka nayo kutoka Unyamwezini baada ya kuonana na Mange Kimbambi.
na kigugumizi chake ,Wabongo washavamia page ya petii wanamshushia kichmbo,Wengine wanamwambia rest in peace,aaaah dah wabongo noma
imesikika mchana hu clouds fmDuuuuh mbona sijaipata hii? Hatari yaja.
Askari wakubwa ndo nini wewe? sema polisi.Kupitia "mr. informer" ya clouds fm majina ya watu maarufu ikiwemo askari wakubwa na wasanii wanaojihusisha na biashara ya dawa za kulevya yatajwa na mkuu wa mkoa wa dar-es-salaam makonda, kwa wale waliosikiliza unaeza share na sisi humu.
Nimeanza kuona mabadiliko ya serikali,,Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.
Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya
Huku wasanii watumiaji wa madawa hayo wakitajwa na kutakiwa kuripoti polisi wenyewe mapema ,
wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5.Recho(kizunguzungu)
SOURCE; Clouds FM (Informer)
Walionana US mwezi uliopita mbona.Hahahahahaa.. Siku mkuu wa mkoa akimuona Mange nadhani atampa kwanza makonzi kabla ya kumpeleka mahakamani
Mi mwenyewe sikauki,maana anawachachamalia akina shamim kila siku leo shoga ake yamemkuta tuone sasaNamchungulia tu sioni akisema chochote.
Wewe unafikiri wauza unga hawajulikani? wanajulikana sana, tatizo wanaogopeka hatari.Mbona makonda anapata shida wakati kuwakamata wauza unga ni rahisi sana??
Kwanini asimkamate chid Benz amwambie nani alikuwa anamuuzia unga?..hapo atapata msururu mzima hadi kumfikia boss kabisa!
Sasa mbona Clouds wameshuindwa kusema na mtangazaji wao wa kipindi cha tegua mtego ametajwa ndugu Babuu wa kitaa?Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.
Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya
Huku wasanii watumiaji wa madawa hayo wakitajwa na kutakiwa kuripoti polisi wenyewe mapema ,
wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5.Recho(kizunguzungu)
SOURCE; Clouds FM (Informer)
Weka picha yakeUyu jamaa nilikua namheshimu asee na kama ni kweli,ntamuona boya!.watu wake wa karibu mwambieni.
Sema unatania tu...Aanze na salaah wa GSM
Maana hata kina wema wanatumwa na huyu jamaa
Ova
Huyo ana kadi ya chama chetu CCM, hawezi kwenda jela.Wema kila siku anasema ana ujio mpya mwaka huu,naona kumbe jela ilikua inamuita,namtakia maisha mema ya ujio mpya,kweli mwaka 2017 mwaka wa wema sepetu