Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiukweli Wema anahitaji maombi, Pastor kafanya jambo la maana sana
Wema kawa ubaya badala ya wema hataki mwenzake avune sadaka pia hapendi ulokole kwani akiokoka ataacha kwenda night club kujiachia viwanja mbalimbali.Pastor Commando lazima apige hela wiki hii. Yaani nimecheka aisee!
Wema umegoma sasa ni full ubaya pekeePasta ka anaombea watu kwanini asiende mahospital kuombea watu
Wagawane sadaka endapo itatokea akaibukaMchungaji mjanja sana
Mchungaji wa mitume, manabii na maaskofu Tanzania... DuuuView attachment 924809
Muigizaji Wema Sepetu ameonesha kuchukizwa na kitendo cha mchungaji kutaka kutumia jina lake kama sehemu ya kupata watu wengi watakao hudhuria ibadani kwake kwa kusema kuwa atamuombea.
Wema Sepetu ameamua kuvunja ukimya na kusema hatoshirki kwenue maombi hayo ambayo mchungaji huyo amekuwa akiyatangaza.
“Hakuna kitu kinachouma kama kuhusishwa kwenye jambo nisilokuwa hata na habari nalo.
Naona sasa inakuwa TOO MUCH…
Hizo habari za kuwa na Mkesha wa Ibada sina habari nazo… Nilivyosikia kwa mara ya kwanza nilichukulia poa na pia maana ni sehemu ya kumuomba Mungu nikaona ni sawa”
“Ila sasa naona imekuwa kama “Wasafi Festival” jamani… Maana ni ma Interview na matangazo utasema ni Show, Sababu kwa kuwepo sitokuepo as it is.
Ninaumwa sana na bado sija recover vizuri… So even nilivyosikia kwamba kutakuwa na watu wamejikusanya kufanya mkesha wa Ibada ya kuniombea nilijiskia faraja BUT haikuwa ni kitu ambacho nimepanga mimi”
“INSTEAD I was happy that kuna watu wamenifikiria hata kunifanyia maombi .
Sasa Kaka/Baba angu Mchungaji… Mbona naona kama umenifanya Daraja jamani…
Ndo haya haya Zama aliosema ya kufanywa Daraja…
Nimelivunja DARAJA , Halipo tena…
Na sitokubali kuendelea kufanywa Daraja na mtu yoyote yule”
“Kwenye mambo mengine Inabidi nianze kua MKALI Cause I think its getting outta hand So with all due RESPECT, Natamka Leo hii… Mimi kama Wema Sepetu siwezi kuwepo katika hilo tamasha na haikuwa katika plan yangu.
Naliita tamasha sababu Maombi huwa hayaendi kwa mtiririko huu ".
[emoji23][emoji23][emoji23]Daraja my ass
Hii inaitwa FUNGA KAZIMchungaji wa mitume, manabii na maaskofu Tanzania... Duuu