Wema Sepetu: Msinifanye mimi kuwa daraja, Sitahudhuria maombi yaliyotangazwa na huyo Mchungaji

Pastor Commando lazima apige hela wiki hii. Yaani nimecheka aisee!
Wema kawa ubaya badala ya wema hataki mwenzake avune sadaka pia hapendi ulokole kwani akiokoka ataacha kwenda night club kujiachia viwanja mbalimbali.
 
Wema si atende wema aende lakini wagawane sadaka kiwema zaidi.
 
Mchungaji wa mitume, manabii na maaskofu Tanzania... Duuu
 
Najiuliza hiv ingekuwa Wema yuko kwenye mchakato wa kugombea miss world 2018 na ili kufanikisha hilo pastor komando pia kaandaa ibada ya maombi ya Wema kama alivyofanya ila hajamuambia Wema. Swali ni je Wema pia angevunja daraja? Au kwa kuwa tukio la sasa ni la aibu ndio maana analaumu kutoambiwa kuhusu maombi? Nakumbuka tulifanya ibada za kumuombea Mwal Nyerere apone bila yy wala familia kuambiwa lakini hakukuwa na malalamiko
 
Pastor 'msanii' katafuta msanii mwenzake wakaliamshe, kamwagwa. Hivi, hilo kanisa lina waumini kabisa, na zaka wanatoa, mapambio wanaimba na biblia wanabeba, akili zao zipimwe ASAP!
 
Still naona hajabadilika wala hajajifunza kutokana na makosa yake.
Karudi mapema sana kwenye social networks. Inaonekana hawezi kuishi bila Instagram.
 
Pastor nae kaona wa kuombewa ni Wema tu?
 
Naona sasa Wema Sepetu akili zake zimeanza kurejea mahala pake sahihi tofauti na ilivyokuwa awali. Ni mwanzo mwema na hatua nzuri pia.
 
Inamaana wema siku zote hizi hajui kama anamajini?
 
Sio Sepenga kweli kwenye kale ka-video ka Baba Askofu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…