WEMA SEPETU mtoto wa kiislam huyupo hivyo!

Mwacheni wema anawashwa yule hajapata wa kumnunga kisawasawa akipata ataacha upuuzi wote na mtashangaa? Wapi sinta?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Maimamu kwa kupenda uroda, hapo ameshatangaza tenda kwa Maimamu na Masheikh ubwabwa.
 
wengine wakiambiwa wataje listi yao wanajaza costa tatu, ila wanamshangaa wema......
 
Hakana dini inayoruhusu uzinifu wala matendo machafu. Na mwanamke mwenye akili timamu hawezi kutangaza wanaume alotembea nao hadharani. Ni upuuzi mtupu.
 
wengine wakiambiwa wataje listi yao wanajaza costa tatu, ila wanamshangaa wema......


Ha ha ha kuna mtu aliwahi niuliza nikamwambia akasema yaani wewe hata Hiace haijai? Mimi Dar Express kumi hazitoshei itabidi niongeze Saibaba, Kilimanjaro Express, Mohamed trans na Ngorika ndo zitatoshea
 
Wengine wakipangwa mstari wanatokea posta mpya hadi chalinze mzee!
wengine wakiambiwa wataje listi yao wanajaza costa tatu, ila wanamshangaa wema......

Ha ha ha kuna mtu aliwahi niuliza nikamwambia akasema yaani wewe hata Hiace haijai? Mimi Dar Express kumi hazitoshei itabidi niongeze Saibaba, Kilimanjaro Express, Mohamed trans na Ngorika ndo zitatoshea
 
Mtoa mada amekerwa na wema 'kukiri' hiyo list. Na hapo hajataja wale waume za watu na wanasiasa. Bora anaejitamvua yu mkosaji manake dhamiri itamsuta atubu. Kuna wale holier than thou, anatembea na tasbihi na huku ni teja wa dhambi kadhaa. Hao hawakumbuki kutubu!
 
Kumbe watu wanaishi na misheni za kujaza mabasi,,,,
 
labda mtoa thread nawe ushadate na wangap??? usmnyooshee kdole mwenzio kumbe nawewe una msururu km msafara wa rais
 
wewe unaishi kama mafundisho ya dini yako yanavyotaka?

Pia ajiulize alitaka Wema ajikane kwamba yeye ni mtoto wa kiislam halafu aseme yeye ni dini gani???haoni kama angeikana imani yake angepata dhambi juu ya dhambi!binadam unaeishi duniani pigania kwanza nafsi yako je u-safii!usi- judge nafsi ya mtu wote dunian hakuna alokamilika jitengenezee njia yako mwenyewe ulieleta huu uzi.
 
waarabu waliwafanya dini gani ya kulazimishana na kuangalia matendo ya watu badala ya kujiangalia wewe unaangalia watu dini zitawapeleka vibaya
 
Uchiwakemwacheni mean I kun a speedometer kilaa anaepita aikja mwingina inasoma 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…