Wema Sepetu na Aunty Ezekiel waomba radhi kwa picha za uchi jukwaani

Wema Sepetu na Aunty Ezekiel waomba radhi kwa picha za uchi jukwaani

Watanzania wepi hao uliozungumza nao wakakuagiza uwe mwakilishi wao? Mi naona so far so good, mara ngapi wanasiasa wanaporomosha mitusi na husikii lolote la aina hii toka kwao.
Tuache ubishi usio na mpango, tuwasapoti wasanii wetu kwa hatua yao ya kiungwana.

Mkuu hili jukwaa limekuwa la ku diss wasanii ... Inasikitisha ... Interesting though
 
Kwani Usanii ni ninii???????, Mi naona Msanii ni mtu afanyae mambo yasio ya kawaida!!!!!!!!
 
yani na tbc inaitwa na hawa wendawazimu wanaenda matukio ya vyama vya upinzani vyenye kutoa mustakabali wa nchi hii wanakosa good coverage wanaenda kuwasikiliza hawa mataahira only in tz!
 
libwaaja libwaaja
Liko paandeeee
Na huko pande liliko ni kwenye shamba
La Jumanne, ingekuwa gogo ningelikataa
Nikaligawa mapande
Ingekuwa gogo ningelikata wee
Nikaligawa mapande
Ingekuwa gogo ningelikata wee
Nikaligawa mapande


Aaaaeeeeeeeeeeeeeee
Lelile lele lile leleee
Lile lile lile lele lile lile
Lile lelee
Lelilelileleeeee
Lele lile lileleele

Nyoka huyo
Hana kiuno
Shanga wewe wamvishaje?
Nyoka huyoo
Hana sikio
Hereni wewe wamvishaje
 
Tusihate sana...
I, for one thing, have come to admire their courage na creativity katika usanii huu mchanga Wakibongo. Yes, most of the stuff they talk about is rubish, but they do satisfy that part of our psyche, which sometimes yearns for this rubishness and curiosity. But let's face it, Wema has been around for some time now and actually doing ok financially than most of us who are doing 9 to 5 (employed). More pic would be helpful …😉
 
Ivi hawa watoto wao wakija kuona hizi picha watawaheshimu kweli au wataweka sura zao wapi? wanaiga mpaka wanakua vituko loooooooo Yasini yao............
 
Hili jukwaa limekuwa la kudiss kila kitu.. hakuna support kwa wasanii wetu, kweli wabongo hatupendani..
 
Hili jukwaa limekuwa la kudiss kila kitu.. hakuna support kwa wasanii wetu, kweli wabongo hatupendani..

Ulitaka tuwasupport kwa kuwaambia walipendeza na waendelee kuvaa nusu uchi?au support ipi tuwape?
 
Back
Top Bottom