Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Ule uvumi uliozagaa kuwa Diamond Platinumz ana kitu kipya ulikuwa ni wimbi la uvumi usiojulikana chanzo chake. Platinumz katika picha yake latest ya Instagram imewaonyesha wawili hao wakipiga pozi pamoja huku picha hio ikiwa na maneno 'Na Mshkaji' yaani mpenziwe Wema Sepetu.
Cheki picha yenyewe ya Instagram hapo chini:
Picha na stori imetolewa kutoka bkuHABARI