Wema Sepetu na Idris Sultan wamwagana rasmi

Huyu aliambiwa amnunulie Wema Range Rover Evoque aka kataaa akipigwa kibut cha kwanza Akaliaa weee akarudishwa relationship hiz tuwaachie Brad Pitt na Angelina Jolie aiseeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hakuna mwanaume aliyeweza kumtuliza wema kama jumbee wema aliishi naye uswaa wakapika na kupakua kwenye vibatari jumbee jichukulie tena zigo lako bana unaliwezeya mwenyeweee
Atakuwa kamtengeza
 
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji35] jf inanikunaaa
 
kwa hiyo Wema atamrudishia Idrissa hela zake zot!?
 
Huyu wema kwani Ana gundu gani? Kwani lazima Kila mwanaume wake awe mbongo movie au bongo fleva?
Siaje hata kwetu tumsitiri tu
Bora angejisitiri hata kwa Mzee wa vijisenti akala maisha, maana hawa wazee pesa yao inatufuta mtumiaji, na kwa Wema ndio mahali pakee kabisaaa
 
Bora angejisitiri hata kwa Mzee wa vijisenti akala maisha, maana hawa wazee pesa yao inatufuta mtumiaji, na kwa Wema ndio mahali pakee kabisaaa
Ni ngumu wakati na wewe unataka uonekane kwa wenzako unampenzi kijana unae endana nae, mzee hana muda wa mashauzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…