Wema Sepetu: Najuta kutoa mimba ya Marehemu Kanumba

kumbe nyumba yya wema ya mimba aikai kitu, aje nimtibie na dawa za kihaya haitatoka tena, labda aniaambie anataka mtoto afanane na nani?
 
Hivi MTU akitangaza katoa mimba hawezi kushtakiwa?
Sheria inasemaje ikitokea mtu kakiri kufanya kosa.

Kutoa mimba ni kosa la jinai iwe uliitoa miaka kumi iliyopita au jana sheria ipo.Labda uwe ulitolewa na daktari kukuepusha kifo.Inakuwa rahisi sana kwa mahakama na waendesha mashtaka unapokuwepo ushahidi wa mkosaji kama huyu anaekiri mwenyewe kulitenda hilo kosa.Tatizo kwa suala hili la Wema kufikishwa mbele ya sheria linakuwa ni mwenzetu katika ni ile ileeee.Akatamke hivyo mwingine anaejulikana ni msoma namba(upinzani) uone kama utalala kwako siku hiyo.Mimi sio.daktari ila kwa idadi ya mimba ulizochpoa zinazofahamika na zisizofahamika uja uzito tena kwako sahau.Mungu atawahangaikia wenye uhitaji wa kweli wa watoto na sio nyie tena.Ponda starehe ndicho ulichobaki nacho na siku hazigandi mategemeo kutokana na umri yataanza kupotea.
 
Liusemi la kipumbavu kabisa hilo.

Kioo cha jamii my black azz....
Shida ni kwamba hamuelewi maana ya kioo cha jamii. huo usemi unamaana msanii anareflect jamii yake. kwasababu anachokifanya ni artistic reflection of social reality. Ndo kusema kwa kumuangalia utaiona jamii anayotoka sio hivyo mnavyoelewa nyie hiyo literal meaning kwamba ye ndio kioo jamii imuangalie.
'Ninawasiwasi sijaeleweka'
 
Mimba gani inafanywa kama Mwenge wa uhuru kila mtu anaishika, Gardner alishika, ommy dimpoz alishika, bikra wa kisukuma alishika na wengine kadhalika..... Ili iweje? Japo sijawahi kuamini kama kweli ile ilikua mimba make ilitoka soon baada ya shika adabu yako ya nay wa mitego kutoka
Anyway pole zake, muda ukifika ataitwa mama
 
Nakubaliana na wewe. Wema & Co. wanaakisi tabia tulizonazo. Nashangaa watu wanamponda, au kwa vile kajianika? After all yeye si msanii, famout...lazima mambo yake mengi yatajulikana, ANAAKISI TABIA ZA WENGI WETU!!
 
Wanawake wengi huwa wanatoa,hasa Waliopo vyuo vikuu nk!Madaktari wanajua vyema huu mchezo.Wanaotoa kwa genuine reason ni wacheche sana.
 
Ww si muuaji kabisa?au kutoa mimba unadhan ni vp?.Bado laana zinakutafuna
 
Ya kwangu ni original njoo nikupe
 
Shangazi yangu alinionya nikiwa bado mdogo "mwanangu kamwe usiwahi kutoa mimba maishani mwako, mimi shangazi yako nina kila kitu. Maisha mazuri, kazi ya maana UN, Mali nyingi ila sina raha sababu sina mtoto. Nilitoa mimba nyingi sana zsababu usichana wangu nilikua kati ya wale air-hostess wa mwanzo na kwa kazi ile hatukuruhisiwa kuwa na watoto. Kila siku sasa natukanwa ZAA WAKO na wanawake wa nje wa mume wangu"

Mpaka leo huwa namuonea huruma sana shangazi, mumewe ana timu ya mpira huko mitaani na wanawake watano tofauti. Ila ndio alitupa goodtimes ile mbaya. Maholiday na pocketmoney ya shule ilikua unlimited kwake.
 
dah poleyake tu...keli kujifunzakwamengi...na tunapata matokeo ya metndoyetu...tunajifunzakwamakosa ya wengine pia
 
Hivyo huyu hajui kutoa mimba ni kosa la jinai? Mashtaka yake yana ukomo wa muda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…