Wema Sepetu: Najuta kutoa mimba ya Marehemu Kanumba

Wema Sepetu: Najuta kutoa mimba ya Marehemu Kanumba

View attachment 350824

Katika Mahojiano yake na Waandishi wa Kampuni ya New Habari(2006) Ltd,Wema Sepetu anaanza kwa kusema

"Nilipokuwa na uhusiano na Marehemu Kanumba,nikiwa naishi na wazazi wangu,niliwaza kama wakijuwa nina Mimba wangejisikiaje?Na pia sikuwa tayari kwa kipindi hicho kuwa na mimba,na utoto pia ulichangia,nikatoa"

"Wanaume wote waliofuata hapo akiwemo Chalz Baba,Jumbe na Diamond sikuweza kupata huo ujauzito wala aina yoyote ya kichefuchefu,Lakini nilipoachana na Diamond alipokuwa na mwanamke mwingine nikasikia amepata ujauzito,kiukweli niliumia sana,nikafikiria kwamba mimi ndiye nina tatizo au ile mimba niliyotoa wakati wa Kanumba ilikuwa ndio pekee niliyojaliwa na Mungu,baada ya hapo nikaanza kumsumbua Daktari wangu,daktari alinipa dawa mbalimbali na kuweka sawa viamsho mwilini,lakini dawa hizo zikaishia kuninenepesha tu"

Wema Sepetu anaendelea kusema
"Wakati nikiwa na Idriss,nikashangaa baadhi ya watu wakaniambia nina mimba,lakini sikuamini nikaenda kupima nikiwa na lengo la kusafisha kizazi lakini daktari akaniambia vipimo vinaonyesha kweli nina ujauzito.Nilifikia uamuzi wa kusafisha kizazi sababu nilichoka kuitwa mgumba"

"Baada ya kukugundulika ujauzito huo nikapiga picha na kuzituma kwenye mitandao nikionyesha tumbo langu,ili kuwaonyesha watu kuwa si mgumba ambapo wengine walishika tumbo langu wakifurahia,hii ikanifanya kuwa na furaha na mpenzi wangu Idriss"

"Siku moja nilipoamka nilikwenda asubuhi kwa haja ndogo,cha ajabu nikahisi kama kitu kimeshuka na nilipoangalia nikaona damu.Hapo hapo nikampigia Mama na kumwambia mimba imetoka,alilonijibu ni kwamba alinambia mimba haitangazwi.Maneno hayo alishaniambiaga kwamba nisitangaze mimba niliyokuwa nayo lakini sikumsikiliza kwa kuwa nilitaka kuwaziba midomo watu waliokuwa wakinitupia maneno ya matusi."

"Niliumia sana ilipotoka ile mimba,kwani ni kitu nilichokuwa nakitaka kwa muda mrefu,nimechoka kuitwa mgumba,lakini sijakata tamaa najua ipo siku nitapata tena"
Majuto Ni mjukuu siku zote hatushangai
 
Nilichojifunza hapa Wema

Anaweweseka

Anaijutia historia yake kwa kuandikwa sana na wino wa kalamu nyekundu..

Hana Amani ya nafsi japokuwa anatabasamu mbele za watu.

Neno "ninge" nadhani linazunguka katika medula Oblangata yake kila mara kwa speed ya Koboko.

Binafsi nimemsamehe, wengi wameishi maisha kama ya wema ila tu hawakupata nafasi ya kuandikwa magazetini.
wew ndio umenena jambo la maana, huyu dada akitaka msaada zaidi ajaribu kuiface jamii mana huku kuna wengi watamsaidia shida zake
 
Liusemi la kipumbavu kabisa hilo.

Kioo cha jamii my black azz....

Wanaposema wasanii kioo cha jamii wanamaanisha wasanii wanaakisi jamii fulani ipoje...Yani ukiwaangalia hao wasanii unaona jamii husika ilivyo....And its true.....Kiujumla...Watanzania wengi tabia zetu hazitofautiani sana na hawa jamaa..Sema tu wao ishu zao zipo public......Na wengi tunapenda sana story hizi...We angalia post zenye views nyingi zaidi humu celebriies forum kama sio zenye jina la sepenga na zilizojaa umbea umbea....These guys are just giving us what we love....They reflect our true societies...They are the mirror
 
Kesho kutwa kukiwa na Kampeni ya watu wanaohamaisha matumizi ya Kondomu na yeye atasema huwa anatumia Kondomu na nio Balozi wa Kondomu hahahahahahaa kwa kweli kondomu hazina matumizi kabisa siku hizi
 
Kumbe wakati anazunguka na Mhe Samia kwenye kampeni hii ya kutoa mimba nayo ilikuwa agenda? Maana sasa hivi idadi ya watoa mimba imeongezeka wanaiga "kioo cha jamii"
 
Keshikutwa kukiwa na Kampeni ya watu wanaohamaisha matumizi ya Kondomu na yeye atasema huwa anatumia Kondomu na nio Balozi wa Kondomu hahahahahahaa kwa kweli kondomu hazina matumizi kabisa siku hizi
Iko Siku na Mimi Ntaitwa Mama – Wema Sepetu Afunguka



Wema Sepetu ana kila kitu anachokitaka duniani, fedha, magari na vingine lakini amekosa kitu kimoja tu muhimu – mtoto.

Na Miss Tanzania huyo wa zamani anataka watu wajue kuwa suala la mtoto si kitu anachokichukulia poa hata kidogo. Muigizaji huyo alielezea hisia zake hizo kwa kupost picha akiwa na mama yake na kuandika: Iko siku na mimi ntaitwa Mama.’ Aliongeza emoji za mtu mwenye huzuni.

Miezi kadhaa iliyopita Wema na Idris walitangaza kutarajia kupata watoto mapacha lakini baadaye walitangaza kuwapoteza. Kwa muda mrefu Wema amekuwa muwazi kuhusu tatizo lake la kutoshika mimba katika muda anaotaka kufanya hivyo.

Mashabiki wake wameendelea kumpa moyo na kumtaka asikate tamaa.

“Usikate tamaa @wemasepetu unakumbuka sara wa ibrahim alizaa akiwa mzee sana cha msingi endelea kumwomba mungu na jiweke karbu nae hakuna kinachoshindikana kwake,” ameandika shabiki mmoja.
 
View attachment 350824

Katika Mahojiano yake na Waandishi wa Kampuni ya New Habari(2006) Ltd,Wema Sepetu anaanza kwa kusema

"Nilipokuwa na uhusiano na Marehemu Kanumba,nikiwa naishi na wazazi wangu,niliwaza kama wakijuwa nina Mimba wangejisikiaje?Na pia sikuwa tayari kwa kipindi hicho kuwa na mimba,na utoto pia ulichangia,nikatoa"

"Wanaume wote waliofuata hapo akiwemo Chalz Baba,Jumbe na Diamond sikuweza kupata huo ujauzito wala aina yoyote ya kichefuchefu,Lakini nilipoachana na Diamond alipokuwa na mwanamke mwingine nikasikia amepata ujauzito,kiukweli niliumia sana,nikafikiria kwamba mimi ndiye nina tatizo au ile mimba niliyotoa wakati wa Kanumba ilikuwa ndio pekee niliyojaliwa na Mungu,baada ya hapo nikaanza kumsumbua Daktari wangu,daktari alinipa dawa mbalimbali na kuweka sawa viamsho mwilini,lakini dawa hizo zikaishia kuninenepesha tu"

Wema Sepetu anaendelea kusema
"Wakati nikiwa na Idriss,nikashangaa baadhi ya watu wakaniambia nina mimba,lakini sikuamini nikaenda kupima nikiwa na lengo la kusafisha kizazi lakini daktari akaniambia vipimo vinaonyesha kweli nina ujauzito.Nilifikia uamuzi wa kusafisha kizazi sababu nilichoka kuitwa mgumba"

"Baada ya kukugundulika ujauzito huo nikapiga picha na kuzituma kwenye mitandao nikionyesha tumbo langu,ili kuwaonyesha watu kuwa si mgumba ambapo wengine walishika tumbo langu wakifurahia,hii ikanifanya kuwa na furaha na mpenzi wangu Idriss"

"Siku moja nilipoamka nilikwenda asubuhi kwa haja ndogo,cha ajabu nikahisi kama kitu kimeshuka na nilipoangalia nikaona damu.Hapo hapo nikampigia Mama na kumwambia mimba imetoka,alilonijibu ni kwamba alinambia mimba haitangazwi.Maneno hayo alishaniambiaga kwamba nisitangaze mimba niliyokuwa nayo lakini sikumsikiliza kwa kuwa nilitaka kuwaziba midomo watu waliokuwa wakinitupia maneno ya matusi."

"Niliumia sana ilipotoka ile mimba,kwani ni kitu nilichokuwa nakitaka kwa muda mrefu,nimechoka kuitwa mgumba,lakini sijakata tamaa najua ipo siku nitapata tena"
Sasa si ashtakiwe kwa kutoa mimba ? Na amekiri mwenywe
Huyu ni wa kuweka ndani
 
Humu watoa mimba wamejaa kibao (wanawake kwa wanaume), lakini wanamsakama Wema tuuuuu!!! Labda kinachomponza Wema ni staili yake ya kuweka hadharani mambo yake mengi, sio mfichifichi.
 
Huyu demu kuingia kwenye mahusiano naye unatakiwa uwe na moyo zaidi ya al shabab
 
Jmn ucchana na ujana kila mtu anaupitia,ila upumbavu wa wema ni mmoja kuaniaka hta vtu ambavyo vinamcoast na hili ni tatizo la bongo movie krbu wte hawajitambui kbsa wwpo mbele ya media wanaropoka tuu!!!rejea mahojiano ya jack na zamarad ni uupuz mtupu!!mengne ni aibu inabid tuu yabak moyon lla wao ili wazid kuandikwa bac ya chumban yte hadharan lol!!!

Mke wa sugu na take 1
 
Wema kuweka wazi jambo kama hilo ni dalili tosha za kujutia na sio mnafiki. Ole wako wewe binti unayekandia Wema hapa wakati wewe umeshatoa mimba tatu, au wewe kidume unayeponda wakati umeshalipia sana gharama za abortion.
 
Nilibahatika kukaa mkoa wa MBEYA mambo kama haya
husema
mbombo ngafu
 
Pole sana,siwezi kukuutukana wala kukukebehi japo si shabiki wako lakini kuna siku ndoto yako itatimia
 
Back
Top Bottom