Wema Sepetu: Najuta kutoa mimba ya Marehemu Kanumba

Wema Sepetu: Najuta kutoa mimba ya Marehemu Kanumba

Wanawake wengi huwa wanatoa,hasa Waliopo vyuo vikuu nk!Madaktari wanajua vyema huu mchezo.Wanaotoa kwa genuine reason ni wacheche sana.

Hao wanawake waliopo vyuo vikuu kama wanatoa mimba inamaana elimu yao haijawasaidia? Kuna mbinu nyingi za kujikinga na mimba, kwanza kupata mimba kiholela inamaana hujikingi na magonjwa ya zinaa pia.
 
WEMA hivi hujaona hao wataam wako - GYNE? hawajakwambia kwambia kuingiliwa sana na wanaume tofauti tofauti huwa ni hatari hata ukishika mimba? tulia na mmoja muda mrefu - sasa ustaa mpaka huko kunako hayaendi wema . hope ukisoma hii ujua nasema nini.
mfano tangu nyavu zitingishwe mara ya kwanza wafungaji wa mabao wangapi wamtingisha nyavu golini?
 
Mwambie ani pm kuna dawa ya migebuka ni hatari hapa Tanganyika lazima upate mimba tu
 
Atakuwa na mapepo yanayotafuna watoto wake tumboni katika ulimwengu wa kiroho..!
 
Huyu wema ina maana kila aina ya mwanamme ameshatembea nae? Bado anapewa sifa kwenye media, hivi ili ufikie umalaya kuna kiwango chochote cha wanaume unahitajika utembee nao, kila akiongea hivi anajiskia ndio media zinampablish lakini sio kweli, ndio anazidi kujidhihirisha na kuonesha kua tabia zake ni chafu
 
Watu wenye maisha hatarishi na wanaofanya ujinga ujinga ndio huwa maarufu. ..fuatilia
 
Back
Top Bottom