Wema Sepetu nakupenda sana na huu ndio ushauri wangu

Upuuzi kama huu uliandika kule celebrates forum, mods waunganishe uzi huuna huo tafadhali.
 
Mwenzio ana uhakika wa viti maalum 2020
Mwache aende akatafute maisha
 
yani avumilie shida hadi 2025? una mkataba na mungu?
 
Wema eeh wewe nenda popote unapotaka ila kumbuka hii_Mtu yeyote akikutumia we mtumie zaidi ili mkiachana isiwe kesi. Binadamu wanapenda sana kutumia wenzao usiregee.
 
Nimeufurahia ujumbe wake kwa ccm tu. Hamna shukrani. Ngoja niwaambie dunia mapema kuwa ccm, hawanaga shukrani, hawaangalii mchango wako kwao baada ya kuingia ndani. Nadhani hili ndilo alilotaka sote tujue

kwenye siasa hakuna shukrani yupo wap Dr Slaa
 
Naona kama ccm walimnima viti maalum huenda akapata ubunge kupitia cdm
 
Poole umechelewa Baku na uoga wako iwe kingunge sembuse wewe..is to she we mchumia tumbo
 
Unangoja 2025 ujipange upya???? Kiulaji nini?
 
Nyie mnataka kumfunga wema kwa kosa asilo litenda,,,kwa ccm hii ya visasi,wacha ahame awe salama,,,maana akibaki atafungwa tuu,amri kutoka juu zitamfunga.

AMESHA HAMA,KAJITAMBUA
 
Mwache aende apendako hata CUF. Vyote vyama vya siasa. Kwani yeye nani na hi i ndiyo demokrasia mtu ana uhuru wa kwenda apendako. Na dini akitaka badili ruksa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…