boaz mwalwayo
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 6,287
- 4,738
Crement walitafuna pesa zake sasa hivi anauza chips kweli bongo nyossso
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamnyooosha jamaa si yuko huko buhlyankulu bna wacha pesa zitendekeeeWapo wanaonunua hata zaidi ya hapo, ila si kwa anavyomfanya yule dogo mpaka amekuwa anajichekesha hovyo eti naye mchekeshaji!
Mbona unanisemaalafu kuna watu mshaara wao kwa mwezi ni 80,000/= kweli dunia ina mambo
"Weaving " ni nomino?Weaving za nywele halisi za binaadam na sio plastics
Kwa hiyo blog au sijui application ya simu aliyoizindua Nape na kuisifia sana ilikuwa ni kwa ajili ya kuwaeleza (kuwaupdate) Watz mambo kama haya!?
[emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33] kumbe hizo ndo wanaziita weaving original???Tumesikia BLOOD DIAMOND, na sasa wizi wa nywele umekithiri duniani especially India na Brazil msichana anakatwa nywele kibabe na kwenda kuziuza kiwandani.
Naona niite Blood Hair.
Hapo ni kuendeleza wizi wa nywele uzidi kushamiri kwa demands za watu kama hawa [emoji107]
View attachment 351380 View attachment 351380 View attachment 351381
kwa nywele zipi labda alizonazo hizi hahahahahahahahaha akawadanganye makwao unyaturuni
Msanii wa filamu, Wema Sepetu, ameweka wazi
kwamba hutumia shilingi milioni 1.2 kwa ajili ya
kutengeneza nywele zake kwa wiki moja.
Pia hutumia Sh 30,000 ya chakula kwa siku na
kama atanunua na chakula cha mbwa wake
huwa anatumia Sh 50,000 kwa siku.
Wema aliliambia gazeti la Mtanzania kwamba si
kila wakati hutumia kiasi hicho cha fedha, bali
hutegemeana na aina ya nywele
anazotengeneza.
Alifafanua zaidi kwamba gharama hizo pia
zinatokana na kutumia ‘weaving original’ lakini
wakati mwingine hutumia hadi laki moja na nusu
kwa nywele za kawaida kama rasta.
“Huwa nabadilisha nywele kila baada ya wiki
ambapo siku nyingine natumia milioni moja, siku
nyingine laki saba au tano kwa sababu sipendi
kukaa na nywele muda mrefu na nywele zangu
ni ‘orijino’,” alisema.
Wema aliongeza kwamba anachopenda zaidi
kwake ni kuwa na muonekano mzuri wa urembo
kwa kuwa urembo upo kwenye damu yake.
View attachment 351363
Nahisi hii itakuwa kwenye app yake [emoji15] [emoji15] [emoji41]Kwa hiyo blog au sijui application ya simu aliyoizindua Nape na kuisifia sana ilikuwa ni kwa ajili ya kuwaeleza (kuwaupdate) Watz mambo kama haya!?
Hili swali linanigombanishaga na wife. Labda wanamaanisha ni nywele za watu kabisa.
Siku hizi ameshajua akiweka weaving kichwani sina comment yoyote zaidi ya hujapendeza, kwa hiyo inabidi asiniulize tu kama amependeza au la!