Wema Sepetu: Natumia TZS Milioni 1.2 kwa wiki kwa ajili ya nywele zangu

Wema Sepetu: Natumia TZS Milioni 1.2 kwa wiki kwa ajili ya nywele zangu

Alafu una kipato cha sh ngapi kwa mwezi......... LOL
 
Wapo wanaonunua hata zaidi ya hapo, ila si kwa anavyomfanya yule dogo mpaka amekuwa anajichekesha hovyo eti naye mchekeshaji!
Anamnyooosha jamaa si yuko huko buhlyankulu bna wacha pesa zitendekeee
 
Hatuwezi jua itakuwa labda ana vitega uchumi vingi na miradi mikubwa duh! Kweli mbuzi hula kutokana na urefu wa kamba yake
 
Kwa mwizi anatumia tsh milioni 4.8 nywele tu
Chakula kwa siku 50,000 yaani kwa mwezi 1,500,000
Hii pesa hadi sasa si angekuwa kajenga nyumba ndani ya miaka 2
 
Kwa hiyo blog au sijui application ya simu aliyoizindua Nape na kuisifia sana ilikuwa ni kwa ajili ya kuwaeleza (kuwaupdate) Watz mambo kama haya!?

Nahisi ndivyo inavyopaswa kuwa mkuu
 
Tumesikia BLOOD DIAMOND, na sasa wizi wa nywele umekithiri duniani especially India na Brazil msichana anakatwa nywele kibabe na kwenda kuziuza kiwandani.
Naona niite Blood Hair.

Hapo ni kuendeleza wizi wa nywele uzidi kushamiri kwa demands za watu kama hawa [emoji107]
[emoji33] [emoji33] [emoji33] [emoji33] kumbe hizo ndo wanaziita weaving original???
View attachment 351380 View attachment 351380 View attachment 351381
kwa nywele zipi labda alizonazo hizi hahahahahahahahaha akawadanganye makwao unyaturuni
 
Msanii wa filamu, Wema Sepetu, ameweka wazi
kwamba hutumia shilingi milioni 1.2 kwa ajili ya
kutengeneza nywele zake kwa wiki moja.
Pia hutumia Sh 30,000 ya chakula kwa siku na
kama atanunua na chakula cha mbwa wake
huwa anatumia Sh 50,000 kwa siku.
Wema aliliambia gazeti la Mtanzania kwamba si
kila wakati hutumia kiasi hicho cha fedha, bali
hutegemeana na aina ya nywele
anazotengeneza.
Alifafanua zaidi kwamba gharama hizo pia
zinatokana na kutumia ‘weaving original’ lakini
wakati mwingine hutumia hadi laki moja na nusu
kwa nywele za kawaida kama rasta.
“Huwa nabadilisha nywele kila baada ya wiki
ambapo siku nyingine natumia milioni moja, siku
nyingine laki saba au tano kwa sababu sipendi
kukaa na nywele muda mrefu na nywele zangu
ni ‘orijino’,” alisema.
Wema aliongeza kwamba anachopenda zaidi
kwake ni kuwa na muonekano mzuri wa urembo
kwa kuwa urembo upo kwenye damu yake.
View attachment 351363

Mwambie akiwa bibi atakuwa mrembo pale atakapokuwa anasuka mikeka na kukosa hata wajukuu wa kumnunulia ugolo
 
Kwa hiyo blog au sijui application ya simu aliyoizindua Nape na kuisifia sana ilikuwa ni kwa ajili ya kuwaeleza (kuwaupdate) Watz mambo kama haya!?
Nahisi hii itakuwa kwenye app yake [emoji15] [emoji15] [emoji41]
 
Jaman kwani zile ni nywele zake au wig lake
 
Hili swali linanigombanishaga na wife. Labda wanamaanisha ni nywele za watu kabisa.

Siku hizi ameshajua akiweka weaving kichwani sina comment yoyote zaidi ya hujapendeza, kwa hiyo inabidi asiniulize tu kama amependeza au la!

Me mkewangu alikua akiweka minywele hiyo hata kama tulitaka kwenda out naahirisha....sasa hivi haweki tena.
 
Hongera sana wema sepetu kwa kutumia zaidi ya 6.3m kwa mwezi nywele ni 4.8m na chakula 1.5m bado mafuta ya gari.
 
kuna mtu mmoja humu ndani alishawahi sema mara nyingi matumizi yanapozidi uwezo mwili lazima utumike tuu.hivyo hata si mshangai huyu mwanamke na haya matumizi aliyoorodhesha
 
Back
Top Bottom