Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,120
Weaving za nywele halisi za binaadam na sio plastics
"Weaving " ni nomino?
I love your Avatar!kuna mtu mmoja humu ndani alishawahi sema mara nyingi matumizi yanapozidi uwezo mwili lazima utumike tuu.hivyo hata si mshangai huyu mwanamke na haya matumizi aliyoorodhesha
hahahahahha..........................Wapo wanaonunua hata zaidi ya hapo, ila si kwa anavyomfanya yule dogo mpaka amekuwa anajichekesha hovyo eti naye mchekeshaji!
Mkuu Kila wakati huwa nagombana Sana na mtarajiwa Wangu kisa kuweka makolokolo kama hayo anaishia kulalama na kusema ukurya Wangu sio kumbe tupo wengi simtaki mwanamke wa kuweka makolokolo kama hayo afu Cost ndefu.Me mkewangu alikua akiweka minywele hiyo hata kama tulitaka kwenda out naahirisha....sasa hivi haweki tena.
'Weaving original' ndo nini?
kama ushaskia msemo mmoja unasema ukimloga binti kwa kukata nywele zake unaweza shangaa kuna kiwanda china kinaungua au kuna dada uko india/brazil kawa kichaa.
nahisi ni weave/wig la nywele halisi za mtu mwingine.
Weaving za nywele halisi za binaadam na sio plastics
Kipilipili noma mkuu.Duu akina dada wametufikisha katika daraja la juu la kumkufuru aliyetuumba! yaani nywele alizokujalia Mola wako alizozikadiria kwa umakini usio na shaka! leo wasichana wetu wanazikana kuwa si kitu chochote bali kwao wanataka nywele za singa kama za mabaniani!!! Kama umamboleo wenyewe ndio kama hivyo basi kiama hakipo mbali...Tujiandae kukabiliana na hukumu ya haki!
Labda kanunua nyingineKama ana pesa kiasi hiko mbona Range limepigwa mnada.
Atuondokee hapa na sifa zisizo na tija. Niliwahi kuwakuta American Nails salon, ndiko wanakoenda mara nyingi, pamoja na kidoti, ana deni la 1.8m na mwenye laki 7. akapunguza laki 3 mwenzie akasema atakuja kupunguza siku nyingine.
nilibaki nashangaa. star mzima unakopa mpaka zaidi ya 1m kwa ajili ya urembo...?? hicho kumbwa elf 50 kwa wiki kinakula nini? Usanii mpaka kwenye maisha yao ya kila siku.