Wema Sepetu: Natumia TZS Milioni 1.2 kwa wiki kwa ajili ya nywele zangu

Hivyo hizo filamu za bongo movies zinalipa kiasi hiki? Kweli kuna umuhimu wa kuwa na mtoto, sasa nywele ndio zimekuwa ndio maisha. I feel for her.
 
nywele og wapi wig ndo analeta hesabu za kchna
 
Kuna jamaa aliniambia kisa kimoja kuhusu wanawake, kuwa anaweza hongwa laki moja, na hela yote akaitumia katika kuinunulia maurembo ili aonekane yuko juu zaidi. Wanaume wamuone ni wanawake wacheche wanaohongwa hela hizo wakazielekeza kwenye maendeleo ili siku moja aondokane na kuwatunga wanaume kwenye cheni, na ajitegemee.
 
Mi hata sijuagi maana siyapendi kama nini, bora mtu usuke rasta tu basi.

Halafu unakuta wengine wana nywele nyingi na nzuri tu.
Huyapendi au waogopa gharama za kumnunulia wife mana yenye quality ni expensive
 
Doooh, ntohooo. 1.2M per week? Hatari. Yan mbwa wake anatumia mipunga mingi kwa siku kuliko hata bili yangu ya msosi kwa mama Caro.
 
Huyapendi au waogopa gharama za kumnunulia wife mana yenye quality ni expensive

Yaani akiwa nayo kichwani hata pa kushika hakuna, ukisema ukune kichwa unakutana na uzi uzi, ndo maana napendaga awe hivyo hivyo au asuke rasta.

Otherwise nakuwa limited pa kudhika aisee.
 
Afu augue tuanze kuombana michango ya matibabu India, hakiyanani jibu nitakolompa huyo mchangishaji atatamani ardhi ipasuke au awe ndani ya ndege afu ipotee angani.
Hawezi omba mchango mtu mwenye baby anayeplan kununua. Ndege binafsi in this year, idd anapesa weww
 
Na gharama za kujaza upepo makalio kwa wiki bei gani?
 
Fahari eeh ndio mama wa ujinga...!!! Ingekuwa ni kweli asingeiba umeme na maji
 
"Nywele zangu ni originall
What a hell?
Nywele za marehemu huko India na China,Israel wakifa zinakatwa unakuja unashinea alafu unasema ni nywele original?/Halisi?

Hizo ni nywele bandia toleo la kwanza!

Nywele original ni ile ulozaliwa nayo tu!Hata kama ni kipilipili cha aina gani,ama rangi yake ugongo ,kahawia kwa kula chips na kukosa virutubisho lakini ni zako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…