Aweke hakiba ya maneno..siku akipata cancer ya makalio(Mungu amuepushe) asije kurudi kwa wananchi na kutembeza bakuli tutamsaidi ila baada ya kumsuta na kumsimanga sana
Nataka nimjue alie wadanganya wanawake weusi kuwa nywele za kubandika ni urembo kwao,.tena unajisifia kabisa kutumia pesa hizo kwaajili ya kununua nywele kiruy.ni bora hata angesema anatumia hyo pesa kuzihudumia nywele zake za asili.