Wema Sepetu ndiye Mkuu Wilaya Mpya ya Kigamboni.

Troll JF

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
7,804
Reaction score
12,237
Inasemekana Mwanadada Wema Abraham Sepetu ndiye Mkuu wa wilaya mpya ya Kigamboni.


Kada huyo kindakindaki wa Chama Cha Mapinduzi anatajwa kuwa Shughuli za Kuapishwa ziko mbioni kwani Taratibu zote zimeshakamilika.


Wema Sepetu ataungana na Uteuzi uliyofanywa mapema Juma hili ukiusisha aliyekua Mjumbe wa katiba ya wananchi Humphrey Polepole na Ally Hapi.

Vijana hawa wanatajwa kuwa na Mchango mkubwa wakati wa Kampeni za Uchaguzi na Chama kimejizatiti kutowapoteza Mathalani Wema Sepetu ambaye mara nyingi alisafiri Nchi nzima akiwa na Makamo wa Rais Bi Samia Suluhu wakati wa Kampeni.
 


kwa serikali ya ccm linawezekana kwa kugawa fadhila wako poa sna wao chama mbele umma nyuma.
 
sio enzi ya kuangalia makalio na kuwa DC Hapa ni miti mikavu inateuliwa!!! sio sura!! au JPM hujamsoma? Haangalii sura wala makunyanzi ya mtu!!
 
Hata kama unampigia debe kiaina lakini hatapata nafasi hiyo hivyo tafuta namna nyingine ya kumnadi shost yako!
 
Bora apewe chege au juma nature sio wema. Na ikitokea kapewa basi hii serikali itakuwa haipo serious kama inavyoonekana sasa. Lets wait and see
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…