Inasemekana Mwanadada Wema Abraham Sepetu ndiye Mkuu wa wilaya mpya ya Kigamboni.
Kada huyo kindakindaki wa Chama Cha Mapinduzi anatajwa kuwa Shughuli za Kuapishwa ziko mbioni kwani Taratibu zote zimeshakamilika.
Wema Sepetu ataungana na Uteuzi uliyofanywa mapema Juma hili ukiusisha aliyekua Mjumbe wa katiba ya wananchi Humphrey Polepole na Ally Hapi.
Vijana hawa wanatajwa kuwa na Mchango mkubwa wakati wa Kampeni za Uchaguzi na Chama kimejizatiti kutowapoteza Mathalani Wema Sepetu ambaye mara nyingi alisafiri Nchi nzima akiwa na Makamo wa Rais Bi Samia Suluhu wakati wa Kampeni.
Hii sirikali hii...... usinene hivyo unaweza Kuta ni kweliupuuzi.com yani jitu failure la maisha lenye makalio marefu kama jani la mgomba liteuliwe, ntavua nguo !
Seriously ??!! Yaani umemuamini kabisaaaa?!!!!😱kwa serikali ya ccm linawezekana kwa kugawa fadhila wako poa sna wao chama mbele umma nyuma.
Seriously ??!! Yaani umemuamini kabisaaaa?!!!!😱
Ha ha ha. Umeona eeh? Maana kuna ambao tayari wako busy kujadili taarifa hii!Hii itakuwa ID ya Wema Sepetu
Lo, kumbe huielewi nchi yako! lolote linawezekana, angalia usiende uchiupuuzi.com yani jitu failure la maisha lenye makalio marefu kama jani la mgomba liteuliwe, ntavua nguo !
Inawezekana maana JF siku hizi imevamiwa. Watu wanajiwekea post ili mradi na wao waongeze idadi ya postKwani Umeskia hili Jukwaa ni La Kutongozana?