Wema Sepetu ni nani mpaka kuwa na ushawishi namna hii?

Beautiful onyinye imegina ya zari ndio maneno, safari hii sijui atamwibua nani maana aslay kagoma, mie naona arudi akamalizie shule ili apewe ubunge wa vitand maalum kama kamata ya vic
 
Amejaza kundi lake la kutukana tu, ila usiposoma shule kwenda juu ni udaku life ndio anayotegemea.

Nasubiria kuona siku moja wanamchokonoa mtu na anawapeleka mbali wakome na midomo michafu.

Pia ni alimuacha boyfi umri mdogo ili atoke na mababu wazee wa TZ anakula pesa zao aishi kitajiri. Na majuto juu as nyota ya aliyezani anamnyonya yeye kumbe Mungu ndie ajuae.

Nimejuaje haya ni kwasababu na follow wasanii niwapendao na nakutaga maneno machafu kwa comments hadi naishia haraka.

Miss TZ 06, mswazi, hajiheshimu kuacha kukemea jina lake kutumika kutukana watu wasiowajua mitandaoni, bagamoyo trips lazima
 
Hata sijui huyu mdada watu wengi wanavyompenda mpaka Kuwa role model wao! Sijui ni nini?
 
Magazeti mengi, waandishi hamna. Lazima waandike kwa kufuata formula.
 
ana influence?hizo team wema sijui team zari niza vitoto hivi vya dot.com ambavyo havina majukumu yoyote zaidi ya kutwa nzima kuchat ktk mitandao ya kijamii,kama sivyo ni watu wazima wasiokuwa na kazi za kufanya,ukimuangalia wema maisha yake anaweza kukufundisha nini au kumfundisha nini mdogo wako cha maana?yule si muuza nyapu tu hapa mjini?she is another failure in life kwa ujumla lakini.
 
acha mambo ya KIKE jamaa unatutia aibu WANAUME wenzako

Inawezekana ni aina ya wanaume wanaolelewa na wakina mama sukari...kwa hiyo muda mwingi anashinda ndani akisoma magazeti ya udaku ndio maana kawa mmbeya hivi.....maana kwa mwanaume timamu mwenye majukumu hawezi akasumbuka na mambo ya kipuuzi kama haya....
 
Nikumbusheni huyu mtu ni nani coz huku kwetu magazeti yoteeee na radio, na midomo na uhonondooo wotee mtt Zarina!
 
huyu mtoto wema ni matatizo kwa kweli, muangalieni chanel 5 now kawapeleka wanae clinic.
 
Le madame mbunye mtaji.
hao fans wake wenyewe ngedere wa tandare kwa tumbo elimu koroboi haijai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…