Anaweza kujaza hata uwanja wa sabasaba wabongo wengi ni wazuraji na majobless.
Huuu ubalozi wetu unahitaji kukaa kimyaa tu, maana watasema nini? Hao wazungu tayari wanazo data zote iliyobaki ni kuzimwaga tu, hii issue ilemwa weeee, mpaka kidogo ilete ngumi bungeni, tukaambiwa kuwa serikali imesha aamuwa, rada inayohitajika na Israeli tukainunua masikini wabongo,
Hapa Mwandosya, Mramba, na Sumaye, ambao waliipigia kelele sana hii kitu ni lazima wajibu maswali hayo, sio ubalozi, tena hao watu wa ubaloozi hapo London wawafahamishe hao viongozi wawili wajibu haraka sana!
Tena hii na Kibelloh/Shariff, ni lazima wajibu maswali pia, kama hao wengine hawapatikani hao maofisa wa ubalozi wamtafute Kibelloh/Shariff, waanze kujibu maswali ya awali wakisubiri wengine kupatikana, this is great labda sasa viongozi wetu wataanza kuogopa kuchukua mgawo kwa wazungu!
Huyu dada jina la Wema walikosea kumpa kabisa labda wangemwita Fitina
Kwa bongo hiyo inawezekana,kwani watu waliokosa kazi ni wengi.Hata mr.President hayuko busy sana.
Labda kama ataagwa akiwa uchi nitakwenda.
Walichelewa kutanguliza Si-Wema....lingebeba maana kubwa sana kwake kuliko ilivyo sasa.....
Marijani alimuimba Siwena na kumwambia......"sibabaishwi na sura...aaaaah napenda....tabia njema aaaah"......
Anaweza kujaza hata uwanja wa sabasaba wabongo wengi ni wazuraji na majobless.
Aagwe kwani alipokuja alikaribishwa?
mkuu umenidhulumu???ARV zimepanda kichwani.
Mi naona sawa tuu yeye kusema hivyo sababu watu walio mgegeda watajaza nusu ya uwanja halafu nusu nyingine ndo ndugu,jamaa na washabiki wake!