Wema Sepetu: ''nikifa mimi leo au kesho niagwe uwanja wa taifa"

Wema Sepetu: ''nikifa mimi leo au kesho niagwe uwanja wa taifa"

Haaah haaah haaah! Super star bongo? Wacha nicheke niongeze siku!
 
Anaweza kujaza hata uwanja wa sabasaba wabongo wengi ni wazuraji na majobless.

atawapata wauza sura wa instagram anajiphotoa alafu unasikia at wema's funeral kila baada ya dk kumi sasa unakiuliza kaenda msibani au kaenda photoshop
 
Huuu ubalozi wetu unahitaji kukaa kimyaa tu, maana watasema nini? Hao wazungu tayari wanazo data zote iliyobaki ni kuzimwaga tu, hii issue ilemwa weeee, mpaka kidogo ilete ngumi bungeni, tukaambiwa kuwa serikali imesha aamuwa, rada inayohitajika na Israeli tukainunua masikini wabongo,

Hapa Mwandosya, Mramba, na Sumaye, ambao waliipigia kelele sana hii kitu ni lazima wajibu maswali hayo, sio ubalozi, tena hao watu wa ubaloozi hapo London wawafahamishe hao viongozi wawili wajibu haraka sana!

Tena hii na Kibelloh/Shariff, ni lazima wajibu maswali pia, kama hao wengine hawapatikani hao maofisa wa ubalozi wamtafute Kibelloh/Shariff, waanze kujibu maswali ya awali wakisubiri wengine kupatikana, this is great labda sasa viongozi wetu wataanza kuogopa kuchukua mgawo kwa wazungu!

Wewe ndio utakuwa wa kwanza kupatwa maana kama Wema si lolote kwako usingekesha hapa kumuanzishia thread kila wakati kukujuwa hakujui na hana mpango huo.
 
Huyu dada jina la Wema walikosea kumpa kabisa labda wangemwita Fitina

Walichelewa kutanguliza Si-Wema....lingebeba maana kubwa sana kwake kuliko ilivyo sasa.....

Marijani alimuimba Siwena na kumwambia......"sibabaishwi na sura...aaaaah napenda....tabia njema aaaah"......
 
Cha ajabu bi mdada anatamani asindikizwe na umati ili hali yeye ana kashfa ya kususia misiba ya wenzake...sasa wewe kwao huendi lakini kwako unatamani waje...duh.

Jide naye msusiaji kama Wema naye aliwahi kutoa katazo kwa watakaohudhuria maziko yake........wadada kazi mnayo.

Ni bora mrudishe maneno yenu kinywani kwa sababu kama mpo bize wanapozikwa wenzenu inaweza ikatokea vivyo hivyo itakapofika zamu yenu, na wakakosekana watu hata wa kuijaza coaster......na wale miliowapiga marufuku kuja msibani kwenu ndio wakawa available.
 
Vinazeekaga hivyo mpaka vinasahaulika chezea god wewe?
 
Labda kama ataagwa akiwa uchi nitakwenda.

Ni sera yenu kupenda vitu vilivyo uchi...au vinavofanya matendo yanayoashiria kukaa uchi
 

Attachments

  • 1391525468658.jpg
    1391525468658.jpg
    51.2 KB · Views: 324
Walichelewa kutanguliza Si-Wema....lingebeba maana kubwa sana kwake kuliko ilivyo sasa.....

Marijani alimuimba Siwena na kumwambia......"sibabaishwi na sura...aaaaah napenda....tabia njema aaaah"......

Labda aliikata hiyo Si?
 
Kwa umaarufu gani. ..duuuu kweli ......haoni kalio leee
 
Mi naona sawa tuu yeye kusema hivyo sababu watu walio mgegeda watajaza nusu ya uwanja halafu nusu nyingine ndo ndugu,jamaa na washabiki wake!

hahah balaa..nafac za mashemej, mawif wa kila aliemgegeda...bado uwanja wa taifa hautosh
 
Hili Binti Jinga, Taifa Wanaagwa Viongoz Tu, Domo wewe mwanya lama pengo
 
Back
Top Bottom